mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Vivumishi katika lugha ya kiswahili huleta ladha ya pekeeKweli Zakumi tunatakiwa tujikumbushe vivumishi
Vivumishi katika lugha ya kiswahili huleta ladha ya pekeeKweli Zakumi tunatakiwa tujikumbushe vivumishi
Pekee na yenye msisimko na kuvutia hadhiraVivumishi katika lugha ya kiswahili huleta ladha ya pekee
hadhira ni watu, ila kuna watu na viatuPekee na yenye msisimko na kuvutia hadhira
Viatu?! Napata ukakasi kunasibisha viatu na binadamuhadhira ni watu, ila kuna watu na viatu
Binadamu wanasiliana, kwa kutumia lugha.Viatu?! Napata ukakasi kunasibisha viatu na binadamu
Safi sana uandishi wako mkuu zakumiBinadamu wanasiliana, kwa kutumia lugha.
Lugha yenye vivumishi, inaleta maana ya kuvutia.
Vumisha mara moja, maana inaeleweka.
Ukivumisha mara ya pili, maana iongezeki.
Kuwa bahili wa vivumishi, kuikuza lugha safi.
Nani alikua anakutafuta sana jana, ulikua wapi??Zakumi ndio nani
Wapi usipopajua ww thatsit!!Nani alikua anakutafuta sana jana, ulikua wapi??
si nilikua kule!Nani huyu Zakumi, utakaje kumjua.Zakumi ndio nani
Ntaanza kumfatilia,,, nnachokijua mpaka sasa kuhusu Hamorapa ni kukimbia bastolaHarmorapa ni moja ya rapa bora kuwahi kutokea Nchini Tanzania.
Bastola Haina masiharaNtaanza kumfatilia,,, nnachokijua mpaka sasa kuhusu Hamorapa ni kukimbia bastola
masihara hiki ni kitendo cha kumtania mtuBastola Haina masihara
CCM ni chama tawala nchini TanzaniaMtu anaesikia haja kubwa then akakosa choo ni saw a na yule aliye chagua ccm
Mtu anaesikia haja kubwa then akakosa choo ni saw a na yule aliye chagua ccm

Tanzania ni nchi nzuriCCM ni chama tawala nchini Tanzania
Nzuri sana Tanzania naipenda nchi yanguTanzania ni nchi nzuri


simo tenaTena , kulikoni hadi umeamua hivyo.Mm najitoa mchezonisimo tena