Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Hapa nilipo ninahisi usingiziLetu ni tegemeo, hilo unasema hapa.
Ukibaki peke yako, miujiza wahitafuta.
Kwa waganga utafika, kikombe kukitafuta.
Tambiko utafanyiwa, hili ngekewa umpate.
Wabongo kwa kupenda miujiza, Mungu sio tegemeo lenu.