Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Tamaa mbele mauti nyuma
Nyuma ukimbie vizuri, mwendo wako ni wa kobe.

Ushindi hautaki vipuri, au unywaji wa pombe.

Hizi mbio za marathoni, taratibu mwendo wake.


Hazitaki purukushani, mwendo kasi sio zake.


Mwifya baki mstarini, mpaka kieleweke.
 
Kunyoa nywele ni vizuri kwa upande wa wanaume ila kwa sisi wanawake inategemea kichwa na kichwa.
Kichwa si lazima sana, kunyolewa hiyo hakika.

Lakini tuna sehemu nyingi, ziitazo viwembe.

Hii ni kwa wanaume, na vilevile kwa wanawake.

Msisahau kiwembe topazi, na hile mikasi ya kichina.

Nyoeni nywele zenu, usia nawaachia.
 
Mwenyezi Mungu ndiye tegemeo letu...
Letu ni tegemeo, hilo unasema hapa.

Ukibaki peke yako, miujiza wahitafuta.

Kwa waganga utafika, kikombe kukitafuta.

Tambiko utafanyiwa, hili ngekewa umpate.

Wabongo kwa kupenda miujiza, Mungu sio tegemeo lenu.
 
Back
Top Bottom