mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Moja kwa moja nakubaliana nawe bila pingamiziHatutayamaliza hata kwa asilimia sifuri nukta sifuri sifuri sifuri moja
Moja kwa moja nakubaliana nawe bila pingamiziHatutayamaliza hata kwa asilimia sifuri nukta sifuri sifuri sifuri moja
Pingamizi likiwekwa kwenye huu uzi nitaandamaMoja kwa moja nakubaliana nawe bila pingamizi
Nitaandamana km ww utaibuka mshindiPingamizi likiwekwa kwenye huu uzi nitaandama
Nitaandama wewe wasema, ukiwekewa pingamizi.Pingamizi likiwekwa kwenye huu uzi nitaandama
Kujizeesha ni pale unaposhindwa kutambua jema na bayaNitaandama wewe wasema, ukiwekewa pingamizi.
Andamana kwenye mambo muhimu, sio kupingwa kwenye uzi.
Andamana kwenye elimu, upate hekima za kujiwezesha.
Usiandamane kwa jambo foramu, huko ni kujizeesha.
Baya moja hufuta mema yako mengiKujizeesha ni pale unaposhindwa kutambua jema na baya
Mengi sana yameibuka kwenye msiba wa ArushaBaya moja hufuta mema yako mengi
Arusha ni mji wa utaliiMengi sana yameibuka kwenye msiba wa Arusha
Utalii upi unaomaanisha? Wa kumuona Faru Fausta!Arusha ni mji wa utalii
Fausta Faustini, mtoto wa hapa mjini.Utalii upi unaomaanisha? Wa kumuona Faru Fausta!
Mjini wikiendi hii ni shwari sana, natamani nisilaleFausta Faustini, mtoto wa hapa mjini.
Nisilale nje ya nyumbani kwangu kipunguniMjini wikiendi hii ni shwari sana, natamani nisilale
Kipunguni ndio sehemu gani?Nisilale nje ya nyumbani kwangu kipunguni
Sehemu gani? Ni moja ya kitongoji eneo la Ukonga Dar-es-salaamKipunguni ndio sehemu gani?
Dar es Salaam ni jiji kubwa sana huwezi kuijua mitaa yoteSehemu gani? Ni moja ya kitongoji eneo la Ukonga Dar-es-salaam
Yote huwezi kuijua sahihi ila ukiwa mzururaji na mwenyeji wa mji huu miaka kwa muda mrefu asilimia kubwa utaifahamu.Dar es Salaam ni jiji kubwa sana huwezi kuijua mitaa yote
Papuchi ndio nini? Huenda ni dili nzuri sana kwa hapa mjini, tushirikishane jamani life limekuwa gumu kwelikweliMitaa yote ya dar es salaam haikosi wauza papuchi!
Kwelikweli haiongezi ukweli, inatosha tu kutumia neno kweli.Papuchi ndio nini? Huenda ni dili nzuri sana kwa hapa mjini, tushirikishane jamani life limekuwa gumu kwelikweli
Kweli Zakumi tunatakiwa tujikumbushe vivumishiKwelikweli haiongezi ukweli, inatosha tu kutumia neno kweli.