johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Watu wa rika mbali mbali humu ndani hamujambo? habari za tangu juziTofauti iko wazi kabisa, kwa kushiriki humu lazima utajua kuwa humu kuna watu wa rika mbalimbali
Watu wa rika mbali mbali humu ndani hamujambo? habari za tangu juziTofauti iko wazi kabisa, kwa kushiriki humu lazima utajua kuwa humu kuna watu wa rika mbalimbali
Wote humu ndani tupo sawa?Mkuu hali ni salama, ndio nimetoka ibadani nimewaombea wote
Rika mbali mbali ndo maana unatakiwa kuwa makini na majibu unayotoa, sio kila mmoja atayafurahia na sio vyema kumkwaza mwingine kisa tu eti ni uhuruTofauti iko wazi kabisa, kwa kushiriki humu lazima utajua kuwa humu kuna watu wa rika mbalimbali
Sawa kabisaWote humu ndani tupo sawa?
Sio pouwa kabisa, haijakaa poa mkuu kufedheheshwa na ni vyema kupotezea tu, binadamu hatufanani, cha msingi tupendane, tukipendana hatutajali mapungufu yetuApendavyo mtu kuishi hakuna wa kumlazimisha vinginevyo, lakini unapokuwa kwenye jamii, unakuwa na staha kidogo, kuna majukwaa unaweza kuwa free kuongea chochote, lakini humu sio
1990 ni mwaka wangu wa kuzaliwaMkuu mie niko salamaa, sijui kwako ELY wa 1990
Kazaliwa kwako kumeongeza idadi ya baraka katika familia1990 ni mwaka wangu wa kuzaliwa
familia yetu tupo/tumezaliwa watoto sita(6)na wote tupo Hai.Kazaliwa kwako kumeongeza idadi ya baraka katika familia
Mkuu mie niko salamaa kabisa, habari za jumapili yakofamilia yetu tupo/tumezaliwa watoto sita(6)na wote tupo Hai.
Sakayo mambo vipi mkuu
Kuzaliwa kwako ni tija kwa taifa, imeongeza idadi ya population 45milion1990 ni mwaka wangu wa kuzaliwa
Familia ya sakayo naipenda sanaKazaliwa kwako kumeongeza idadi ya baraka katika familia
Wote tuombe rehema kwa mwenyezi Mungu, ili mvua inyeshe, tuvune ziada!duniani kuna mademu kama milioni ishilini na sita na ushee,na nitaakikisha nimewapitia wote
Yako sura na tabia ndivyo vinanifanya vinanivutia sana mrembo sakayoMkuu mie niko salamaa kabisa, habari za jumapili yako
Sakayo uyu toxic 9 kila mtu anamvutiaYako sura na tabia ndivyo vinanifanya vinanivutia sana mrembo sakayo

Ziada? Eti Chakula cha ziada kipo? Nilisikia kiongozi mkubwa kabisa akisema tuna chakula cha ziada kama tani trillion kadhaa hivi, je nchini kuna njaa au hakuna njaa?Wote tuombe rehema kwa mwenyezi Mungu, ili mvua inyeshe, tuvune ziada!
Anamvutia nani tena mwingine jamani zaidi ya sakayo , mnataka kuharibu ndoa za watu ehhh aisha, sakayo nasubiri atoe tamko kama atanipokea niwe kipenzi chake, aisha bana we endelea kufuga tembo nyumbani watu tusilete mahari namsaidie namgeSakayo uyu toxic 9 kila mtu anamvutia![]()
![]()
Njaa huletwa na baadhi ya matendo maovu.....Ziada? Eti Chakula cha ziada kipo? Nilisikia kiongozi mkubwa kabisa akisema tuna chakula cha ziada kama tani trillion kadhaa hivi, je nchini kuna njaa au hakuna njaa?
Maovu mkuu, hebu fafanua kidogo hii njaa ni laana ama watu hawajitumi, kingine nimekumiss mtu wanguNjaa huletwa na baadhi ya matendo maovu.....
Wangu wa moyoni sinto kuachia mkono..,Maovu mkuu, hebu fafanua kidogo hii njaa ni laana ama watu hawajitumi, kingine nimekumiss mtu wangu
Namge naona kashanisahau cjui yuko pande gn saa iziAnamvutia nani tena mwingine jamani zaidi ya sakayo , mnataka kuharibu ndoa za watu ehhh aisha, sakayo nasubiri atoe tamko kama atanipokea niwe kipenzi chake, aisha bana we endelea kufuga tembo nyumbani watu tusilete mahari namsaidie namge
