Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,451
kutema cheche ni sifa aliyopewa Magufuli na Kikwete, lakini kwa utata alioleta kwenye uteuzi aliyoufanya sidhani kama bado anatema checheKutema inategemea na ladha yenyewe, kama tamu huwezi kutema