Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kawaida ya humu huwa hakuna maneno makali kama hayo, jirekebishe kaka, wadau kama Sakayo , mamaafacebook II , toxic9 , Blaki Womani , Namge , xav bero na wengineo hawawezi kujisikia vizuri
Vizuri kama unaishi kwa kuangalia watu watakufikiriaje, don't care what they think about....
Fanya kile unachopenda na kuwa huru usitake kuonekana mtu mwema sana, na kuogopa watu.
Kila mtu aishi na apendavyo,
 
Vizuri kama unaishi kwa kuangalia watu watakufikiriaje, don't care what they think about....
Fanya kile unachopenda na kuwa huru usitake kuonekana mtu mwema sana, na kuogopa watu.
Kila mtu aishi na apendavyo,
Apendavyo mtu kuishi hakuna wa kumlazimisha vinginevyo, lakini unapokuwa kwenye jamii, unakuwa na staha kidogo, kuna majukwaa unaweza kuwa free kuongea chochote, lakini humu sio
 
Apendavyo mtu kuishi hakuna wa kumlazimisha vinginevyo, lakini unapokuwa kwenye jamii, unakuwa na staha kidogo, kuna majukwaa unaweza kuwa free kuongea chochote, lakini humu sio
Sio vyema kujionyesha mbele za watu kuwa una mawazo ya usiku kila mara, yap ni uhuru ila uhuru nao ukizidi huwa kero kwa wengine
 
Back
Top Bottom