Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,753
- 51,238
Manyara na mimi nakujaUnakaribishwa chakula cha mchana kama upo karibu mkoa wa Manyara
Manyara na mimi nakujaUnakaribishwa chakula cha mchana kama upo karibu mkoa wa Manyara
Mkuu inabidi uyaweke pazi la sivyo yatakodoa sana ukaharibuMacho hayana pazia mkuu
Tembo nyumbani mmhh kwa jina la kipori pori anaitwa masikioMkali sana Zaid ya wakwenu pia tuna tembo![]()
Arusha ni mkoa, na manyara pia ni mkoaBlaki womani anaishi wilaya ya Manyara mkoa wa Arusha
Mahar unapeleka kwa wangap t?Tembo![]()
hahaha naona una lengo la mimi kutokuja kwenu kuleta mahari
Mahari siku hizi imekuwa biashara vijana wengi wanashindwa kukamilishaTembo![]()
hahaha naona una lengo la mimi kutokuja kwenu kuleta mahari
Mkoa upi una hadhi ya jiji?Arusha ni mkoa, na manyara pia ni mkoa
Arusha Kuna baridiBlaki womani anaishi wilaya ya Manyara mkoa wa Arusha
Nakuja wiki ijayo jijini naomba ukaribishoManyara na mimi nakuja
T9 anauliza kwani wewe unawajua wangapi, wote si wamenitema au nawe unaniteme kama ulivyo mdondosha namgeMahar unapeleka kwa wangap t?
Mkoa wa.manyara kabla ulikuwa ndani ya Arusha karibu wilaya ya babatiArusha ni mkoa, na manyara pia ni mkoa
Kukamilisha mahari ni mchakato wa mila na desturi zetu, bila kutoa mahari utakuwa sio mwanaume kamiliMahari siku hizi imekuwa biashara vijana wengi wanashindwa kukamilisha
Ukaribisho bila shaka karibu sana, wewe tena karibu tu my dear, ila uje na gas yako, unga wa sembe, mchele, sukari hali ni ngumuNakuja wiki ijayo jijini naomba ukaribisho
Ngumu kwel kwel hasa kwa wale wanaopenda dezo dezo,,awamu hii kila MTU unaweza mwambia shikamoo,,,nataka kujua who z black womanUkaribisho bila shaka karibu sana, wewe tena karibu tu my dear, ila uje na gas yako, unga wa sembe, mchele, sukari hali ni ngumu
Church ni lazima maana kulindwa na Mungu wiki nzima ni neema ya pekee, habarini za jumapili wakuuPoa sana kuona umeenda church
Wakuu mpo.. Hope weekend ipo njemaChurch ni lazima maana kulindwa na Mungu wiki nzima ni neema ya pekee, habarini za jumapili wakuu
Kheri ya jumapili, Wasalimie sana wazee wangu hapo, waambie nawapendaAuu atakuwa club!?![]()
nimewamiss humu ndani Ila Leo nipo kunyonya dah ukirudi home visanga vya kupika na kuchota maji hadi simu unasahau kwa kweli niwatakie jumapili njema na wiki end njema tufanye ibada wale wa ibada wale wa starehe na refreshment pia Ila tusimkwaze Allah/God kila la kheri..
Njema kabisa mkuu, weekend yako vipi?Wakuu mpo.. Hope weekend ipo njema
Church ni lazima maana kulindwa na Mungu wiki nzima ni neema ya pekee, habarini za jumapili wakuu
Ngumu kwel kwel hasa kwa wale wanaopenda dezo dezo,,awamu hii kila MTU unaweza mwambia shikamoo,,,nataka kujua who z black woman