Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Zamani hizo hakuna mpya mkuu
Mkuu kweli enzi hizo watu walikuwa vichwa hatare akina Einstein enzi zao waliumiza vichwa ku invent mambo ya mana siku hizi ma invents tuliokuwa nao eti ndo hawa wa wagunduzi wa facebook,watsap sijui nini na nini,yani ujinga ujinga[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Maji unaogopa?ha haha labda hujui kuogelea japo inapotokea ajali hata kama unajua kuogelea unaweza kufa vile vile,,,kwenda unguja Mara ya mwsho niliacha 20000 Kilimanjaro express ya azam na 13000 lile kajamba nani. Cjajua kwa sasa
Sasa nimerudi kuwania ushindi kwa mara nyingine tena[emoji6]
 
Back
Top Bottom