dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,340
- 16,909
Mkuu kweli enzi hizo watu walikuwa vichwa hatare akina Einstein enzi zao waliumiza vichwa ku invent mambo ya mana siku hizi ma invents tuliokuwa nao eti ndo hawa wa wagunduzi wa facebook,watsap sijui nini na nini,yani ujinga ujingaZamani hizo hakuna mpya mkuu


kiaje yan