Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Makapuku tupo shehe, napamba na hali yangu shehe, vipi huko kwenu mnatunyima nini hasa
Huku kwetu kuna wingu zito sana limetanda leo hasubui mpaka tukashindwa kwenda makazini tukiofia leo ni ghalika, lakin nilivyoingia ndani tu nakutoka sijui hata lilipotelea wapi.. Sasa hivi jua linapigaa utadhani tuko jehanamu
 
Back
Top Bottom