Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,991
Imekwishaje wakati nina viporo vingi vinaningojea, habari yako mwanamke mweusiHumu tuko poa sana sema wewe uliyepotea kwa muda siku yako imekwishaje
Imekwishaje wakati nina viporo vingi vinaningojea, habari yako mwanamke mweusiHumu tuko poa sana sema wewe uliyepotea kwa muda siku yako imekwishaje
Tanzania ya sasa kila mtu analiaKihistoria binadam wa kwanza alitokea tanzania
....vilio Vitapungua ikirudishwa noti ya mia mbili(200) maana sikuifaidi kabisaTanzania?????? Hebu dadavua kidogo ringsonKihistoria binadam wa kwanza alitokea tanzania
Kabisa unadhani itarudTanzania ya sasa kila mtu analia....vilio Vitapungua ikirudishwa noti ya mia mbili(200) maana sikuifaidi kabisa
Kabisa tabia yakuita mia tano ni jero sasa hali ilivyo mtabadili mienendo tuTanzania ya sasa kila mtu analia....vilio Vitapungua ikirudishwa noti ya mia mbili(200) maana sikuifaidi kabisa
Tanzania ni mojawapo ya nchi Mungu aliyoijalia asali na maziwaKihistoria binadam wa kwanza alitokea tanzania
Mweusi anavutia kuwakilisha rangi ya asiliImekwishaje wakati nina viporo vingi vinaningojea, habari yako mwanamke mweusi
Kabisa wewe bado kinda wengine tuliitumiaTanzania ya sasa kila mtu analia....vilio Vitapungua ikirudishwa noti ya mia mbili(200) maana sikuifaidi kabisa
ringson anazungumzia nyayo zilizopo NgorongoroTanzania?????? Hebu dadavua kidogo ringson
Hahahaha hapo ulipoandika HIV sikuelewa hadi niliporudia mara ya pili daah vifupisho vya siku hiziNgorongoro siku hizi hakuna mvuto kama zaman,,,ulikua ukifika wamasai wa pale wanakua kivutio kikubwa San tofauti ha hawa wa sasa HIV wanaovaa jeans za dukani
Dukani kwangu naweka kila aina ya bidhaa karibu mpate huduma safiNgorongoro siku hizi hakuna mvuto kama zaman,,,ulikua ukifika wamasai wa pale wanakua kivutio kikubwa San tofauti ha hawa wa sasa HIV wanaovaa jeans za dukani
Umenikumbusha wakati tunavuka geti ya Robanda-seronela aliulizwa dereva unawatu wangapi??Ngorongoro siku hizi hakuna mvuto kama zaman,,,ulikua ukifika wamasai wa pale wanakua kivutio kikubwa San tofauti ha hawa wa sasa HIV wanaovaa jeans za dukani
bas mie mbavu sinaSina cha kudadavua toxic9, si ukasome vitabu jamani! Kwani yule alievumbuliwa olduvai george ni nani?Umenikumbusha wakati tunavuka geti ya Robanda-seronela aliulizwa dereva unawatu wangapi??
Akajibu wa5 na wamasai wa2,,
akaulizwa wamasai sio watu??
Akajibu ni kivutio cha nchi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
bas mie mbavu sina
Ni nani aliyevumbuliwa 0.G tena jamani mpya au ile ile ya zamaniSina cha kudadavua toxic9, si ukasome vitabu jamani! Kwani yule alievumbuliwa olduvai george ni nani?
Zamani inasemekana kuna mtu humu anatambua lile fuvu lilikua la naniNi nani aliyevumbuliwa 0.G tena jamani mpya au ile ile ya zamani

Zamani hizo hakuna mpya mkuuNi nani aliyevumbuliwa 0.G tena jamani mpya au ile ile ya zamani
Mkuu mpya ni kuweza okoa pesa na kuwekezaZamani hizo hakuna mpya mkuu