Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hivi ni kwa nini huyu mwandishi aliamua kuandika hivi?. (Historia ya Tanganyika-Zanzibar).
f086753a431cfcd537f6a7ada6dda266.jpg
 
Ngorongoro siku hizi hakuna mvuto kama zaman,,,ulikua ukifika wamasai wa pale wanakua kivutio kikubwa San tofauti ha hawa wa sasa HIV wanaovaa jeans za dukani
Umenikumbusha wakati tunavuka geti ya Robanda-seronela aliulizwa dereva unawatu wangapi??

Akajibu wa5 na wamasai wa2,,

akaulizwa wamasai sio watu??

Akajibu ni kivutio cha nchi bas mie mbavu sina
 
Back
Top Bottom