Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,821
- 51,480
Kwanza, tuanze na wewe je una hata mmoja?Wangapi tunawatoto humu kwanza
Kwanza, tuanze na wewe je una hata mmoja?Wangapi tunawatoto humu kwanza
Polisi kamata weka ndani wote wanao kiuka sheria za nchi hasa panya roadMwema alikuwa Kama Mkuu wa jeshi la polisi
Mmoja atoke wapi mkuu wakati sakayo anambania binamu yakeKwanza, tuanze na wewe je una hata mmoja?
Tena mkuu nilikusahau kabisa, umepotelea wapi kwani shehePolisi wana hali mbaya kifedha kwani raia hawahongi tena
Zamani za kale wanawake mlikuwa mna heshima sana tofauti na hivi sasaTena siku hizi rushwa inapigwa vita kuliko zamani
Hatutumii hata sisi japokuwa huku kwetu ni uswahiliniSakayo acha kuzingua banah, gbefa karibu la familia ila ngada huku hatutumii,
Road transport management moja kati ya masomo nianayosoma chuoniPolisi kamata weka ndani wote wanao kiuka sheria za nchi hasa panya road
Pombe nilikunywa kidogo tu nikamiss na ile ya kanisani ila ya kanisani wanatia maji inakuwa haina ukali na haileweshi kabisaMbaya ni kutokwenda leo kanisani kisa jana umekunywa pombe
Chuoni una gonga faculty gani shehe, na unapendelea subjects gani, na unasoma kwa kuelewa au unajaza space tu kichwani, na je unatarajia kuwa nani in future, na je unasoma kwa minajili ipi uajiriwe au ujiajiriRoad transport management moja kati ya masomo nianayosoma chuoni
Ujiajiri bila mtaji me napiga bachelor degree in logistics & transport management, mkuu nasoma ili niwe na mawazo mapana kidogo kuhusu kuajiriwa ikitokea nitafanya hivyo but ndoto zangu zipo mbali sana na kuajiriwa...Chuoni una gonga faculty gani shehe, na unapendelea subjects gani, na unasoma kwa kuelewa au unajaza space tu kichwani, na je unatarajia kuwa nani in future, na je unasoma kwa minajili ipi uajiriwe au ujiajiri
Sasa hivi heshima hakuna tenaZamani za kale wanawake mlikuwa mna heshima sana tofauti na hivi sasa
Aiseee Tarehe 10.01.2017 rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIAUjiajiri bila mtaji me napiga bachelor degree in logistics & transport management, mkuu nasoma ili niwe na mawazo mapana kidogo kuhusu kuajiriwa ikitokea nitafanya hivyo but ndoto zangu zipo mbali sana na kuajiriwa...
Napendelea mawili tu chuoni communication skills na transport safety and security kwa sababu ndio masomo pekee nayosoma bila kutumia scientific calculator..
Ila haya matatu yaliyobaki yaani kama haupendi hesabu baasi lazima ile kwako ni mwendo wa calculations hadi naogopa aisee
Tena mnaniuzi kutuvalia nusu uchi juzi nilishindwa kusoma library manzi kavaa kigauni kinafika mapajani alivyokaa tulikuwa tunatazamana aisee kinguo kilipanda juu utadhani alikuwa anavuliwa 6*6 yaani me baada ya kusoma nikawa naangalia tu pichu yake na ke yake ilivyonona mwisho sikuambii ilikuaje Ila mnatuumiza sana haswa binti ukikuta mashallah kaajaliwa shape na rangi ya mtume lazima udateSasa hivi heshima hakuna tena
Simiyu ni mkoa mpya mkuu!?Aiseee Tarehe 10.01.2017 rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA
Anakuja mkoani kwetu SIMIYU
Mkuu SIMIYU ni mkoa mpya ndiyoSimiyu ni mkoa mpya mkuu!?
Tanzania my countryMkuu SIMIYU ni mkoa mpya ndiyo
Zamani ilikuwaga ni wilaya Bariadi mkoa wa Shinyanga ila now ni Bariadi mkoa SIMIYU
Ni kati ya mikoa mipya hapa TANZANIA
Country boy ni msanii mzuri sanaTanzania my country