gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Umri sio kigezo cha kuutambua ukubwa, ukubwa ni majukumu dada umri mbwembwe tu, we ukiishi nyumbani kwa wazazi wakati una 30 age uone kama utaonekana mkubwa, tofauti na Yule ambae ana umri Mdogo lakini aishi kwaoMe I don't trust you anymore, una mambo makubwa kuliko umri o