Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Ujiajiri bila mtaji me napiga bachelor degree in logistics & transport management, mkuu nasoma ili niwe na mawazo mapana kidogo kuhusu kuajiriwa ikitokea nitafanya hivyo but ndoto zangu zipo mbali sana na kuajiriwa...
Napendelea mawili tu chuoni communication skills na transport safety and security kwa sababu ndio masomo pekee nayosoma bila kutumia scientific calculator..
Ila haya matatu yaliyobaki yaani kama haupendi hesabu baasi lazima ile kwako ni mwendo wa calculations hadi naogopa aisee
Aiseeeehhh nimekuelewa ndugu yangu goodmorning all, ila huwezi kujiajiri kama hujawahi ajiriwa kuna vitu vingi sana utajifunza ukiajiriwa na utajifunza eg risk management, risk transfering, management approach, cost minimization, marketing in general , staff management, time management, strategic planning for the business, SWOT analysis, na monthly & annual reports, annual stocktaking etc kwa hiyo kuna faida kubwa sana kuanza kuajiriwa kabla ya kujiajiri kwa mtazamo wa kujifunza
 
Aiseeeehhh nimekuelewa ndugu yangu goodmorning all, ila huwezi kujiajiri kama hujawahi ajiriwa kuna vitu vingi sana utajifunza ukiajiriwa na utajifunza eg risk management, risk transfering, management approach, cost minimization, marketing in general , staff management, time management, strategic planning for the business, SWOT analysis, na monthly & annual reports, annual stocktaking etc kwa hiyo kuna faida kubwa sana kuanza kuajiriwa kabla ya kujiajiri kwa mtazamo wa kujifunza
Kujifunza kuna uwanja mpana mkuu, nashukuru nipo na watu walionitangulia na walio na uwezo kama wewe naamini hakuna kitakachoalibika ili hali mawazo, ushauri na mkazo wako ndio msaada kwangu..
Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki..
Tupo pamoja mkuu shukrani sana
 
Back
Top Bottom