Mengi Nimekuwa nayaonaMwingi nilimopita nimeona mengi
Mengi Nimekuwa nayaona
Sasa bhasi kaa ukijua kuwa huwezi kunidanganya kwa lolote
Shangaa uliwe ohoo mjini hapa ujuelolote laweza kuwa chochote, Yanga kapigwa nne shangaa
Muda ukifika utakuja mtaani kwani kila jambo na wakati vuta subira mkuu.Mkuu natamani nizikunje sasa hivi Ila basi tu, nitatafuta kibarua cha muda
Kwanza akamilishe kazi zake ndio afikirie safari...Mkuu wa wilaya ya ilala atafanya ziara nje ya nchi kwa Mara ya kwanza,,,
Safari sio kifo mwache aende ni moja ya kazi zake,habari za asubui humuKwanza akamilishe kazi zake ndio afikirie safari...
Humu JF kuna kila aina ya watu, kuna watu wanaweza kuandika kitu mpaka unajiuliza huyu ni kichaa??Safari sio kifo mwache aende ni moja ya kazi zake,habari za asubui humu
Kichaa cha mbwa hatari sanaHumu JF kuna kila aina ya watu, kuna watu wanaweza kuandika kitu mpaka unajiuliza huyu ni kichaa??
Aiseeeehhh nimekuelewa ndugu yangu goodmorning all, ila huwezi kujiajiri kama hujawahi ajiriwa kuna vitu vingi sana utajifunza ukiajiriwa na utajifunza eg risk management, risk transfering, management approach, cost minimization, marketing in general , staff management, time management, strategic planning for the business, SWOT analysis, na monthly & annual reports, annual stocktaking etc kwa hiyo kuna faida kubwa sana kuanza kuajiriwa kabla ya kujiajiri kwa mtazamo wa kujifunzaUjiajiri bila mtaji me napiga bachelor degree in logistics & transport management, mkuu nasoma ili niwe na mawazo mapana kidogo kuhusu kuajiriwa ikitokea nitafanya hivyo but ndoto zangu zipo mbali sana na kuajiriwa...
Napendelea mawili tu chuoni communication skills na transport safety and security kwa sababu ndio masomo pekee nayosoma bila kutumia scientific calculator..
Ila haya matatu yaliyobaki yaani kama haupendi hesabu baasi lazima ile kwako ni mwendo wa calculations hadi naogopa aisee
Tena kumekucha tunamchukuru Mungu, goodmorning all my online friendsSasa hivi heshima hakuna tena
Friends are the family we choose for ourselvesTena kumekucha tunamchukuru Mungu, goodmorning all my online friends
Ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves....Friends are the family we choose for ourselves
Kujifunza kuna uwanja mpana mkuu, nashukuru nipo na watu walionitangulia na walio na uwezo kama wewe naamini hakuna kitakachoalibika ili hali mawazo, ushauri na mkazo wako ndio msaada kwangu..Aiseeeehhh nimekuelewa ndugu yangu goodmorning all, ila huwezi kujiajiri kama hujawahi ajiriwa kuna vitu vingi sana utajifunza ukiajiriwa na utajifunza eg risk management, risk transfering, management approach, cost minimization, marketing in general , staff management, time management, strategic planning for the business, SWOT analysis, na monthly & annual reports, annual stocktaking etc kwa hiyo kuna faida kubwa sana kuanza kuajiriwa kabla ya kujiajiri kwa mtazamo wa kujifunza
Teh teh teh umefurahiiiiOurselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves ourselves....
Teh teh teh teh teh...

Teh teh teh umefurahiiii![]()
huyu mdoli ana maana gani..teh teh teh.. Maana simuelewi elewi kabisa.Kabisa nmeota nafunga ndoahuyu mdoli ana maana gani..teh teh teh.. Maana simuelewi elewi kabisa.
Ndoa yangu ipo matatani sana kusambaratika maana mke wangu nimegundua ananisaliti.Kabisa nmeota nafunga ndoa