Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,743
- 51,166
Kukujua binti sakayo ni faraja kwangu pia, marafiki ni wengi ila wachache ndiyo marafiki wa ukweli, wewe ni wa ukweli sanaMtu wa Watu kama ulivyo wewe mkuu toxic9 sijuti kukujua
Kukujua binti sakayo ni faraja kwangu pia, marafiki ni wengi ila wachache ndiyo marafiki wa ukweli, wewe ni wa ukweli sanaMtu wa Watu kama ulivyo wewe mkuu toxic9 sijuti kukujua
Sana hata mie naamini wewe ni moja ya marafiki wa ukweli na nikama nduguKukujua binti sakayo ni faraja kwangu pia, marafiki ni wengi ila wachache ndiyo marafiki wa ukweli, wewe ni wa ukweli sana
Sakayo ashasema amen kaka, you make me cry!! Asantee kwa kujaliVibaya?? What happened, ila Mungu ni mwema, Dont worry God is taking good care of everything that went bad today and restore where it belongs, Sema amen sakayo
Kwani unaumwa ugonjwa gani hatareeHadharani wapi tenaa kuwaambia ndugu zangu naumwaa ni vibaya kwani
Huyo mvalisha viatu kweli anaiweza hiyo kazi au ameingilia kazi za watu?Mvalishwa viatu ndo Sakayo mwenyewe huyo
Hataree wapi ni malaria tu mkuu inanipelekeshaKwani unaumwa ugonjwa gani hataree
Ndugu yangu karibu bi sakayo katika ukoo wetu, nitakutambulisha rasmi tukienda moshi pasakaSana hata mie naamini wewe ni moja ya marafiki wa ukweli na nikama ndugu
Kazi za watu wapi, ni moja ya jukumu lakeHuyo mvalisha viatu kweli anaiweza hiyo kazi au ameingilia kazi za watu?
Kujali kuzuri ni kumvunga mtu viatu huku unamuangali usoniSakayo ashasema amen kaka, you make me cry!! Asantee kwa kujali
Pasaka sio, basi sawa usijali tutakuwa pamoja moshi, nawe pia karibu katika familia kubwa zaidi muhezaNdugu yangu karibu bi sakayo katika ukoo wetu, nitakutambulisha rasmi tukienda moshi pasaka
Lake sio hilo, anaonekana kabisa ana lazimishaKazi za watu wapi, ni moja ya jukumu lake
Kujali ni muhimu kwangu binti sakayo, na nafarijika nikifanya hivyo, dont crySakayo ashasema amen kaka, you make me cry!! Asantee kwa kujali
utafanya nami nilie

Inanipelekesha mimi pia pindi nnapoumwa ila pole sana mkuu mungu akusaidie upone harakaHataree wapi ni malaria tu mkuu inanipelekesha
Mwaka mpya namshukuru Mungu, ngoja nimkurupue mamaafacebook II aje kupokea salamu zakoMamaafacebook ameadimika humu ndani kama wewe tu mkuu, heri ya mwaka mpya
Analazimisha wapi tenaa mkuu, hayo ndo mapendo!! Wala hajali mtasema nini ndo maana nampenda bureLake sio hilo, anaonekana kabisa ana lazimisha
Nilie sio kwa maumivu bali kwa furaha kujua nina wanandugu wengi tena wakarimuKujali ni muhimu kwangu binti sakayo, na nafarijika nikifanya hivyo, dont cry![]()
utafanya nami nilie
![]()
![]()
![]()
![]()
Bure huwezi kumpenda, lazima kuna vichocheo vinakufanya umpendeAnalazimisha wapi tenaa mkuu, hayo ndo mapendo!! Wala hajali mtasema nini ndo maana nampenda bure
Haraka na Mungu anisaidie, Asantee mkuuInanipelekesha mimi pia pindi nnapoumwa ila pole sana mkuu mungu akusaidie upone haraka
Wakarimu na wenye staha piaNilie sio kwa maumivu bali kwa furaha kujua nina wanandugu wengi tena wakarimu
Hatareee mzee wa illuminati, hivi hizo mambo zako kwanini unazipenda sana chaliiKwani unaumwa ugonjwa gani hataree