Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,753
- 51,238
Dem boy mwambie athibitishe hapa kweli hizo km alizimaliza au geresha tu,Hapa mahali pa upendo jamani yeyote anaweza kuwa pacha wa t9 au wa dem boy
Dem boy mwambie athibitishe hapa kweli hizo km alizimaliza au geresha tu,Hapa mahali pa upendo jamani yeyote anaweza kuwa pacha wa t9 au wa dem boy
Dem boy mwambie t9 sijawahi tembea kwa miguu umbali hata wa mita tatu ! Aniombe radhi tafadhaliHapa mahali pa upendo jamani yeyote anaweza kuwa pacha wa t9 au wa dem boy
Tafadhali na sisi hatuweki picha,Dem boy mwambie t9 sijawahi tembea kwa miguu umbali hata wa mita tatu ! Aniombe radhi tafadhali
Picha si yamuhimu sana kuthibitisha undugu wa watu may be DNATafadhali na sisi hatuweki picha,
Geresha tu t9 si unaona apo anataka umtake radhi hajawahi tembea hata mita3 kwa mguuDem boy mwambie athibitishe hapa kweli hizo km alizimaliza au geresha tu,
Tafadhali antidot msamehe pacha wangu labda alikunukuu vibaya,so unajua smartphone zilivyo na majanga kwenye uandishi yawezekana uliandika cm,ikaja km,j2 iwe njema kwenu nyote nikianza na pacha mwenyewe,antidot,gbefa,aisha,mama fb sijui kashatia koment yoyote asubui hii,supermarket kabla ya mida ya lunch tunataka koment humu,sakayo vp upo powa?amazing,namge,ringson na kituko mwenyewe sina shaka na nyie na j2 hiiDem boy mwambie t9 sijawahi tembea kwa miguu umbali hata wa mita tatu ! Aniombe radhi tafadhali
Mguu kukanyaga kilometers nyingi hivyo hawezi banah, nilijuwa tu kwamba hajawahi kanyaga kilometers zote hizo ila ni vyema kufanya mazoezi kwa kukimbia kilometers nyingi ili kufanya mwili na viungo vingine vya mwili vifanye kaze zake kama ilivyokusidiwa, lets have funy, jf inatupa fursa kuburudika sanaGeresha tu t9 si unaona apo anataka umtake radhi hajawahi tembea hata mita3 kwa mguu
Wadau wote mliopo kwenye list niwatakieni Jumapili njema nyie na familia zenu, na vyema mpigie Mungu goti mlilie akupe hitaji la moyo wako, Nawakubali sana my online friends viva amani na upendoHumu ndani nani anaongoza ligi wadau
Inconvenient truthsringson ni mgeni nini mbona simfahamu, mkuu hivi una ugomvi na mamaafacebook, Coz she is not in the list, by the way nawe pia uwe na jumapili mwanana
Mtu wa watu kweli coz watu hatujaona koment yake masaa kadhaa tu 2shaanza kumulizia sijapitia koment za leo ivi kashakoment kweli?Mwanana shehe, ehh yani nimejishangaaa kumsahau mamaafacebook naye ametupotea sana, mamaafacebook hanaga conflict, mtu wa watu
Hii jumapili yangu imeanza vibayaTafadhali antidot msamehe pacha wangu labda alikunukuu vibaya,so unajua smartphone zilivyo na majanga kwenye uandishi yawezekana uliandika cm,ikaja km,j2 iwe njema kwenu nyote nikianza na pacha mwenyewe,antidot,gbefa,aisha,mama fb sijui kashatia koment yoyote asubui hii,supermarket kabla ya mida ya lunch tunataka koment humu,sakayo vp upo powa?amazing,namge,ringson na kituko mwenyewe sina shaka na nyie na j2 hii
Jumapili mwanana kwako pia mpendwaInconvenient truthsringson ni mgeni nini mbona simfahamu, mkuu hivi una ugomvi na mamaafacebook, Coz she is not in the list, by the way nawe pia uwe na jumapili mwanana
Vibaya hivyo kutangaza hadharaniHii jumapili yangu imeanza vibaya
Mtu wa Watu kama ulivyo wewe mkuu toxic9 sijuti kukujuaMwanana shehe, ehh yani nimejishangaaa kumsahau mamaafacebook naye ametupotea sana, mamaafacebook hanaga conflict, mtu wa watu
Kweli toka jana hajatia timu humu dem boy, vipi jumapili yako ikojeMtu wa watu kweli coz watu hatujaona koment yake masaa kadhaa tu 2shaanza kumulizia sijapitia koment za leo ivi kashakoment kweli?
Vibaya?? What happened, ila Mungu ni mwema, Dont worry God is taking good care of everything that went bad today and restore where it belongs, Sema amen sakayoHii jumapili yangu imeanza vibaya
Hadharani wapi tenaa kuwaambia ndugu zangu naumwaa ni vibaya kwaniVibaya hivyo kutangaza hadharani