Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mkuu usijali sote ni binadamu sote ni watanzania lazima tuwe na umoja ns ushirikiano,
Ni vyema kukupa pole na matatizo yaliyokupata hakika utapona mwamini muumba wako atakusaidia.
Atakusaidia na wewe pia kwa kuwa na moyo wa upendo na huruma.
Niwatakie jumapili njema wooote na Mungu awabariki.
 
Back
Top Bottom