Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,190
- 1,217
..Magufuli Is very serious,Inapendeza sana
Sana Hb sijui kwa nini watu hawamwelewi..Magufuli Is very serious,Inapendeza sana
Hawamwelew sababu amevaa maskSana Hb sijui kwa nini watu hawamwelewi

Mask kama ya Aishah2016 vile, mweeeh leo tena umetupiamo new avatar penda sana Aishah2016Hawamwelew sababu amevaa mask![]()
![]()
Aisha 2016 nakuzimia mwenzio.Mask kama ya Aishah2016 vile, mweeeh leo tena umetupiamo new avatar penda sana Aishah2016
Aisha ni jina la mke wa Mtume MuhammadAisha 2016 nakuzimia mwenzio.
Mtume Muhammad alijawa busara ya Mungu wakat woteAisha ni jina la mke wa Mtume Muhammad
Wakati wote...Mungu ni mwema pia ni vzr kumtegemeaMtume Muhammad alijawa busara ya Mungu wakat wote
Mwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.Aisha 2016 nakuzimia mwenzio.
Mwenzio ukizimia ntabaki na nani ssAisha 2016 nakuzimia mwenzio.
Dah miss you jmnMwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.
Salam za kipekee ziwafikie÷
Mamaafacebook II
Dem boy
Kituko
Toxic
Aishah2016
Shunie
Sakayo
Gbefa.
Nimekuja kuwapa hai friends, pia nawatoa hofu mimi ni mzima wa afya, Thank you
Thank you too mkuu we missed you kinona yani sijui umepotelea wapi thanks for comingMwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.
Salam za kipekee ziwafikie÷
Mamaafacebook II
Dem boy
Kituko
Toxic
Aishah2016
Shunie
Sakayo
Gbefa.
Nimekuja kuwapa hai friends, pia nawatoa hofu mimi ni mzima wa afya, Thank you
Hawamwelewi kwa sababu hajatekeleza ahadi za wananchiSana Hb sijui kwa nini watu hawamwelewi
Aishah2016 amenenepa amekuwa na shavu dodo siku hiziMask kama ya Aishah2016 vile, mweeeh leo tena umetupiamo new avatar penda sana Aishah2016
Sasa si mpaka akizinduka mnaendelea kuwa pamojaMwenzio ukizimia ntabaki na nani ss
Coming is the, is the yani umeniacha njia pandaThank you too mkuu we missed you kinona yani sijui umepotelea wapi thanks for coming

Siku hizi ustukimbie tena jmn, mwambie wifi yetu asikufiche sanaAishah2016 amenenepa amekuwa na shavu dodo siku hizi
Tunaukaribia karibu karibu kukabidhiwa ushindi wetu..jukwaa hili kama daladala yani akishuka mtu anapanda mtuJukwaa letu la jokes linapwaya bila uwepo wao, ila tupambane tu Ushindi tunaukaribia
Jamani miss u too mkuuDah miss you jmn