gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Mkuu wife alikukaba sana nini maana duuuh! Au ulikuwa unakimbia mialiko ya sikukuu za mwisho wa mwakaJamani miss u too mkuu
Mkuu wife alikukaba sana nini maana duuuh! Au ulikuwa unakimbia mialiko ya sikukuu za mwisho wa mwakaJamani miss u too mkuu
Sana sana usisahau kufikisha salam zangu kwaSiku hizi ustukimbie tena jmn, mwambie wifi yetu asikufiche sana
Mwaka huu nipo biz kdg mkuu, baada ya miezi kadhaa nikimaliza project nitarudi mkuuMkuu wife alikukaba sana nini maana duuuh! Au ulikuwa unakimbia mialiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka
Sawasawa kaka all the bestSana sana usisahau kufikisha salam zangu kwa
Mamaafacebook II
Sakayo
Toxic9
Iceman 3D
Gbefa
Shunie
Aishah2016
Dem boy..waambie nimewamiss sana bests zangu, hata nikiwa sipo online waambie nipo:;nimedownload Jf kuja kuwapa hai..baada ya miezi kadhaa Inshallah nitarudi nikimaliza project!!
usisahau kuwaambia mimi nipo, sawa?
Best for u too Aishah2016..byeSawasawa kaka all the best
Mwenzio Nina ujasiri kweli nakutokea public hata sina mshipa wa aibu nakupenda Aisha2016 ni Mimi Namge

Thank you to you too!!! Karibu tena jamanii sio kwa kukumiss huko jamani. Heri ya mwaka mpya tenaMwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.
Salam za kipekee ziwafikie÷
Mamaafacebook II
Dem boy
Kituko
Toxic
Aishah2016
Shunie
Sakayo
Gbefa.
Nimekuja kuwapa hai friends, pia nawatoa hofu mimi ni mzima wa afya, Thank you
Sawa, kwa hiyo unatukimbia ndugu.Sana sana usisahau kufikisha salam zangu kwa
Mamaafacebook II
Sakayo
Toxic9
Iceman 3D
Gbefa
Shunie
Aishah2016
Dem boy..waambie nimewamiss sana bests zangu, hata nikiwa sipo online waambie nipo:;nimedownload Jf kuja kuwapa hai..baada ya miezi kadhaa Inshallah nitarudi nikimaliza project!!
usisahau kuwaambia mimi nipo, sawa?
Mkuu miezi tena, wiki mbili tumeona kama miaka, hakika tumekuzoeaMwaka huu nipo biz kdg mkuu, baada ya miezi kadhaa nikimaliza project nitarudi mkuu
Maziwa yana tabuuuuMkuu miezi tena, wiki mbili tumeona kama miaka, hakika tumekuzoea
..Taabu Ya Yakobo Inakuja,sijui ndo taabu gani HiiMaziwa yana tabuuuu
Mazowea yana tabuuuu tabia zikilinganaaa..Taabu Ya Yakobo Inakuja,sijui ndo taabu gani Hii
Thank you boy for coming back we miss you alot alot alot, unajuwa ulituzoesha vibaya yani daily upo humu kwenye uzi agood participant wetu halafu ghafla ukatoeka mhmhmh supermarket huyo shemu nimempa vyeo vya kutosha, msalimie sanaMwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.
Salam za kipekee ziwafikie÷
Mamaafacebook II
Dem boy
Kituko
Toxic
Aishah2016
Shunie
Sakayo
Gbefa.
Nimekuja kuwapa hai friends, pia nawatoa hofu mimi ni mzima wa afya, Thank you
Thank u god supermarket amerudi ulitutia hofu ulikuwa wap?watu amekumiss humu kinyama nikiwemo mimiMwenzio nimekuja kuwapa hai, members wa uzi huu. Salamu zenu kwangu za heri ya mwaka mpya nimezipata.
Salam za kipekee ziwafikie÷
Mamaafacebook II
Dem boy
Kituko
Toxic
Aishah2016
Shunie
Sakayo
Gbefa.
Nimekuja kuwapa hai friends, pia nawatoa hofu mimi ni mzima wa afya, Thank you
Kumtegemea Mungu kwa kila jambo ni vyema sana,Wakati wote...Mungu ni mwema pia ni vzr kumtegemea
Wananchi humu walijiuliza kwanini umepotea, hebu tuambie nini hasa yalikukuta ukapotea hivyo sheheHawamwelewi kwa sababu hajatekeleza ahadi za wananchi
Shehe, haya maswali umuulize na Ben akionekana..Wananchi humu walijiuliza kwanini umepotea, hebu tuambie nini hasa yalikukuta ukapotea hivyo shehe
Sana sana wifi yako ni Ukhuty, sasa hebu fanya kama umfuate PM umwambie sio ishu kumkaba supermarket mpaka leoSiku hizi ustukimbie tena jmn, mwambie wifi yetu asikufiche sana