Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said Atafurahi Zaidi, Kama Ata... Zanzibar!, Rais Samia, Rais Mwinyi, Sameheni, Mtabarikiwa Sana!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,499
113,610

Wanabodi,​

Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963, akiwa na umri wa miaka 95, sauti hiyo imeniambia huyu Sultani anatamani sana kurejea Zanzibar, kuja kukamilisha ..., na kuwa atafurahi sana, na atakuwa na amani sana, iwapo kama ata... akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Natoa wito kwa Rais Samia, na rais Mwinyi, kumfanyia application ya zile 4R za Rais Samia kwa kumsamehe, kumjengea mazingira wezeshi arejee Zanzibar, ili ... akiwa Zanzibar.

Huko nyuma niliandika Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Hili likifanyika, Rais Samia na rais Mwinyi, mtabarikiwa sana for healing machungu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Zanzibar itabarikiwa sana!.

The story ni C&P from BBC Swahili.

Jamshid bin Abdullah Al Said: Fahamu aliko Sultani wa mwisho wa Zanzibar​

29 Septemba 2020
Imeboreshwa 12 Januari 2021
Jamshid bin Abdullah Al Said

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamshid bin Abdullah Al Said
Baada ya kuishi mafichoni hususan nchini Uingereza Jamshid bin Abdullah Al Said, aliyekuwa sultani wa Zanzibar , akiwa ndio Sultan wa mwisho wa masultani waliotawala miaka 91 kisiwani humo kutoka kwa familia ya al Busaid , alihamia katika ufalme wa Oman.
Mtu huyu ambaye aliitawala Zanzibar hadi alipoondolewa katika mapinduzi ya mwezi Januari 1964 aliwasili mjini Muscat hivi karibuni.
Gazeti la The Guardian linasema kwamba serikali ya Oman ilikataa maombi kadhaa yaliotolewa na Sultan huyo ili kumruhusu kuishi katika ufalme huo.
Lakini ndugu yake mmoja mjini Muscat aliambia gazeti la The National mjini Abu Dhabi kwamba ombi lake la kutaka kuishi Oman lilikubalika kutokana na umri wake.
Amekua akitaka kuishi siku zake za mwisho katika taifa hilo la mababau zake ''na sasa anafurahia kuweza kufanya hivyo'', aliongezea.
Afisa mmoja wa serikali alikataa kutoa tamko lake kulingana na gazeti la The Guardian.
Uhuru na mapinduzi
Jamshid bin Abdullah alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963.
Mnamo mwezi Disemba 1963, kisiwa hicho kilichopo maili 22 kutoka pwani ya Tanzania kilijipatia Uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

Ijapokuwa kuna madai kwamba mapinduzi hayo yaliwahusisha wapaiganaji 600 chini ya uongozi wa kikomunisti wa John Okelo, yaliungwa mkono na raia wengi wa Afrika.
Maelfu ya Waarabu waliuawa katika ghasia huku maelfu zaidi wakitoroka visiwa hivyo kwa hofu ya maisha yao.
Baada ya kuangushwa kwa usultani mwezi Januari visiwa vya zanzibar vikawa Jamhuri. Mwezi Aprili rais wa Zanzibar na Tanganyika walitia saini ya kuwa na taifa moja kwa jina Tanzania, ambapo Zanzibar ilibaki na sehemu ya uhuru wake.

Uhamishoni​

Jamshid bin Abdullah alitoroka Zanzibar kwa kutumia dau moja la kifahari baada ya wanamapinduzi kuliteka kasri lake.
Baada ya kukataliwa kuingia Oman, alisafiri hadi Uingereza akiwa na ndugu na jamaa zake .
Wiki mbili baadaye Gazeti la The New York Times liliripoti kwamba hali ya kifedha ya Sultan huyo ilimlazimu kuondoka katika hoteli ya kifahari aliokuwa akiishi karibu na kasri la Buckingham hadi hoteli ya Modest iliopo karibu na eneo la Bayswater.
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

Gazeti hilo linasema kwamba mwezi Mei 1964, serikali ya Uingereza ilimpa Sultan huyo paundi elfu moja.
Fedha hizo zilimsaidia kuishi katika nyumba moja iliokuwa katika barabara tulivu, katika eneo la SouthSea, Hampshire. Mwaka 2000 , aliyekuwa rais wa Zanzibar Salimin Amour alimpatia uhuru Jamshid bin Abdullah.
Amor wakati huo alisema kwamba Jamshid alikuwa huru kurudi Zanzibar lakini sio kama sultan bali kama raia.
Na kwa zaidi ya miaka 56 alioishi katika hoteli hiyo iliopo karibu na ufukwe wa bahari nchini Uingereza , Sultan huyo hakuvutia watu.
Jamsheed

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mwandishi Ned Donovan, aliyekuwa akifuatilia hadithi hiyo ya Sultan alisema: Sikupata mkaazi hata mmoja ambaye alifahamu uwepo wake , hakuzungumza na vyombo vya habari , aliishi maisha ya kunyamaza sana .
Fahamu uhusiano wa Zanzibar na Oman
Zanzibar ipo katika bahari hindi mashariki mwa pwani ya bara Afrika. Kisiwa hicho kiliungana na Tanganyika bara lakini kina rais wake na bunge ambalo linfahamika kama baraza la wawakilishi.
Baada ya kuwa kituo cha utumwa , kilivutia wakaazi wengi waliokuwa Waafrika, Waarabu, Wazungu na Wahindi.
Asili ya watu visiwani Zanzibar ni mchanganyiko wa Waafrika walio wengi, Waarabu wa Omani na Yemen mbali na Wahindi. Asilimia 98 ya wakaazi wa kisiwa hicho ni Waislamu.
Zanzibar hujulikana kama kisiwa cha karafuu kutokana na wingi wa zao la karafuu . Wakati Waarabu wa Omani walipokiteka kisiwa cha Mombasa kutoka kwa Wareno 1698, Zanzibar na Pemba zilikua chini ya watawala wa Kiarabu kutoka Omani, na baada ya zaidi ya karne moja waliondoka na kukiwacha kisiwa hicho chini ya utawala wa wakaazi.
Sultan wa kwanza kuishi Zanzibar alikuwa Saeed bin Sultan baada ya kukitembelea kisiwa hicho mara kadhaa baada ya mwaka wa 1830, wakati huo akipanua ushawishi wake katika pwani ya Afrika ya mashariki.
Baada ya kifo chake 1856 , utawala wa Sultan uligawanywa kati ya wanawe wawili , mmoja akiwa Oman na mwengine akisalia Zanzibar, na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said.
Rejea za Mwandishi kuhusu Zanzibar
Ombi kwa Rais Samia ni kufuatia Ombi hili Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? ambapo Rais Samia alimsamehe mtu bila kuombwa msamaha. Hivyo anaweza kabisa kumsamehe Sultan Jamshid bila hitaji la Sultan huyo kuomba msamaha.

NB. Kuna gaps nimeziacha, ili ujumbe huu uwafikie wale tuu wenye uwezo to read in between the lines!.

Nawatakia Mapumziko mema ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Paskali.
 
Mmh hii kali sasa!! Tumsamehe sultani au Yeye atuombe msamaha sisi kwa kuwafanya babu zetu vinyago

Sultani anakumbukwa tena kwa mara ya kwanza basi ujue maisha yamekuwa magumu sana huko zenj

Hawa si ndio walioleta mambo ya LGBT zanzibar kwa wakati huo na kuyarasimisha kabisa

Mkuu Pascal,Kwani huelewi kwanini mambo ya kinyume na maumbile yameshamiri zanzibar? Chanzo ni hao akina sultani

Huyo sultani alipaswa kuwaomba msamaha wanzanzibar kama utawala wa kibelgiji huko kongo

Tatizo la zanzibar la kimaadili hata Rais Samia alishaliongea kuwa kuna shida kubwa zanzibar ya LGBT ingawa hakutaja chanzo kwa kuheshimu diplomasia

Cha kushangaza na kusikitisha unakutana na msukuma huko zanzibar mweusi kama mkaa lakini anajifanya na yeye ni mwarabu na kudharau wasukuma wenzake wa shinyanga na mwanza

Lakini kwa kuwa wenyewe wamesahau mateso ya sultani na bado wameendeleza LGBT hakuna haja ya sultani kutuomba msamaha bali akaribishwe tu kuendeleza alipoachia kwenye LGBT

Ikitokea kura ya maoni na ukawauliza wanzanzibar wanataka wawe Oman au Tanganyika watachagua Oman ,

Hawa unaowaita weusi wajukuu wamsamehe sultani kwanza ndio wanakanda vichogo vionekane kama sultani

Unakutana na mtu amekanda chogo aonekane kama sultani ,
 

Wanabodi,​

Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963, akiwa na umri wa miaka 95, sauti hiyo imeniambia huyu Sultani anatamani sana kurejea Zanzibar, kuja kukamilisha ..., na kuwa atafurahi sana, na atakuwa na amani sana, iwapo kama ata... akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Natoa wito kwa Rais Samia, na rais Mwinyi, kumfanyia application ya zile 4R za Rais Samia kwa kumsamehe, kumjengea mazingira wezeshi arejee Zanzibar, ili ... akiwa Zanzibar.

Hili likifanyika, Rais Samia na rais Mwinyi, mtabarikiwa sana for healing machungu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Zanzibar itabarikiwa sana!.

NB. Kuna gaps nimeziacha, ili ujumbe huu uwafikie wale tuu wenye uwezo to read in between the lines!.

Nawatakia Mapumziko mema ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Paskali.

The story ni C&P from BBC Swahili.

Jamshid bin Abdullah Al Said: Fahamu aliko Sultani wa mwisho wa Zanzibar​

29 Septemba 2020
Imeboreshwa 12 Januari 2021
Jamshid bin Abdullah Al Said

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamshid bin Abdullah Al Said

Baada ya kuishi mafichoni hususan nchini Uingereza Jamshid bin Abdullah Al Said, aliyekuwa sultani wa Zanzibar , akiwa ndio Sultan wa mwisho wa masultani waliotawala miaka 91 kisiwani humo kutoka kwa familia ya al Busaid , alihamia katika ufalme wa Oman.
Mtu huyu ambaye aliitawala Zanzibar hadi alipoondolewa katika mapinduzi ya mwezi Januari 1964 aliwasili mjini Muscat hivi karibuni.
Gazeti la The Guardian linasema kwamba serikali ya Oman ilikataa maombi kadhaa yaliotolewa na Sultan huyo ili kumruhusu kuishi katika ufalme huo.
Lakini ndugu yake mmoja mjini Muscat aliambia gazeti la The National mjini Abu Dhabi kwamba ombi lake la kutaka kuishi Oman lilikubalika kutokana na umri wake.
Amekua akitaka kuishi siku zake za mwisho katika taifa hilo la mababau zake ''na sasa anafurahia kuweza kufanya hivyo'', aliongezea.
Afisa mmoja wa serikali alikataa kutoa tamko lake kulingana na gazeti la The Guardian.
Uhuru na mapinduzi
Jamshid bin Abdullah alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963.
Mnamo mwezi Disemba 1963, kisiwa hicho kilichopo maili 22 kutoka pwani ya Tanzania kilijipatia Uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

Ijapokuwa kuna madai kwamba mapinduzi hayo yaliwahusisha wapaiganaji 600 chini ya uongozi wa kikomunisti wa John Okelo, yaliungwa mkono na raia wengi wa Afrika.
Maelfu ya Waarabu waliuawa katika ghasia huku maelfu zaidi wakitoroka visiwa hivyo kwa hofu ya maisha yao.
Baada ya kuangushwa kwa usultani mwezi Januari visiwa vya zanzibar vikawa Jamhuri. Mwezi Aprili rais wa Zanzibar na Tanganyika walitia saini ya kuwa na taifa moja kwa jina Tanzania, ambapo Zanzibar ilibaki na sehemu ya uhuru wake.

Uhamishoni​

Jamshid bin Abdullah alitoroka Zanzibar kwa kutumia dau moja la kifahari baada ya wanamapinduzi kuliteka kasri lake.
Baada ya kukataliwa kuingia Oman, alisafiri hadi Uingereza akiwa na ndugu na jamaa zake .
Wiki mbili baadaye Gazeti la The New York Times liliripoti kwamba hali ya kifedha ya Sultan huyo ilimlazimu kuondoka katika hoteli ya kifahari aliokuwa akiishi karibu na kasri la Buckingham hadi hoteli ya Modest iliopo karibu na eneo la Bayswater.
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

Gazeti hilo linasema kwamba mwezi Mei 1964, serikali ya Uingereza ilimpa Sultan huyo paundi elfu moja.
Fedha hizo zilimsaidia kuishi katika nyumba moja iliokuwa katika barabara tulivu, katika eneo la SouthSea, Hampshire. Mwaka 2000 , aliyekuwa rais wa Zanzibar Salimin Amour alimpatia uhuru Jamshid bin Abdullah.
Amor wakati huo alisema kwamba Jamshid alikuwa huru kurudi Zanzibar lakini sio kama sultan bali kama raia.
Na kwa zaidi ya miaka 56 alioishi katika hoteli hiyo iliopo karibu na ufukwe wa bahari nchini Uingereza , Sultan huyo hakuvutia watu.
Jamsheed

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mwandishi Ned Donovan, aliyekuwa akifuatilia hadithi hiyo ya Sultan alisema: Sikupata mkaazi hata mmoja ambaye alifahamu uwepo wake , hakuzungumza na vyombo vya habari , aliishi maisha ya kunyamaza sana .
Fahamu uhusiano wa Zanzibar na Oman
Zanzibar ipo katika bahari hindi mashariki mwa pwani ya bara Afrika. Kisiwa hicho kiliungana na Tanganyika bara lakini kina rais wake na bunge ambalo linfahamika kama baraza la wawakilishi.
Baada ya kuwa kituo cha utumwa , kilivutia wakaazi wengi waliokuwa Waafrika, Waarabu, Wazungu na Wahindi.
Asili ya watu visiwani Zanzibar ni mchanganyiko wa Waafrika walio wengi, Waarabu wa Omani na Yemen mbali na Wahindi. Asilimia 98 ya wakaazi wa kisiwa hicho ni Waislamu.
Zanzibar hujulikana kama kisiwa cha karafuu kutokana na wingi wa zao la karafuu . Wakati Waarabu wa Omani walipokiteka kisiwa cha Mombasa kutoka kwa Wareno 1698, Zanzibar na Pemba zilikua chini ya watawala wa Kiarabu kutoka Omani, na baada ya zaidi ya karne moja waliondoka na kukiwacha kisiwa hicho chini ya utawala wa wakaazi.
Sultan wa kwanza kuishi Zanzibar alikuwa Saeed bin Sultan baada ya kukitembelea kisiwa hicho mara kadhaa baada ya mwaka wa 1830, wakati huo akipanua ushawishi wake katika pwani ya Afrika ya mashariki.
Baada ya kifo chake 1856 , utawala wa Sultan uligawanywa kati ya wanawe wawili , mmoja akiwa Oman na mwengine akisalia Zanzibar, na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said.

Rejea za Mwandishi kuhusu Zanzibar
Paskal
Historia ya sultan huyu na maisha yake baada ya mapinduzi na kuhamia uhamishoni ni ya majonzi na majuto.Ni vema akakaribishwa zanzibar kama Bado yu hai huenda nafsi yake ikapata faraja na inawezekana akataman kufia Zanzibar
 
na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said
Hapa kuna gap na hapa ndio kiini cha Mapinduzi kilipoanzia Mwingereza kuacha Uhuru chini ya Sultan na Sultan akampa M Shamte (Mpemba/Mshirazi) madaraka,

Nilikua sijui kwamba washirazi ndio wa Pemba yaan hili neno washirazi kwenye neno Afro-Shiraz Party limenipigisha msamba sana kwenye uwezo wangu wa kufikiria yaan hii neno Shiraz ndio ukawa misamiati mgumu kumbe wanakwambia ni wa Persia sijua walitoka ghuba ya uajemi walikua waajemi kutoka Iran mara walikua huko Shiraz Iran wakahamia pwani Afrika Mashariki miaka elfu 3 iliyopita mara ni watu wa dhehebu la Shia mara ni wale waliounda vyama vya ZNP na ZPFP/ZPPP mara ni wahizbu lakini kumbe wanazingumziwa wa Pemba
 

Wanabodi,​

Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963, akiwa na umri wa miaka 95, sauti hiyo imeniambia huyu Sultani anatamani sana kurejea Zanzibar, kuja kukamilisha ..., na kuwa atafurahi sana, na atakuwa na amani sana, iwapo kama ata... akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Natoa wito kwa Rais Samia, na rais Mwinyi, kumfanyia application ya zile 4R za Rais Samia kwa kumsamehe, kumjengea mazingira wezeshi arejee Zanzibar, ili ... akiwa Zanzibar.

Hili likifanyika, Rais Samia na rais Mwinyi, mtabarikiwa sana for healing machungu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Zanzibar itabarikiwa sana!.

NB. Kuna gaps nimeziacha, ili ujumbe huu uwafikie wale tuu wenye uwezo to read in between the lines!.

Nawatakia Mapumziko mema ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Paskali.

The story ni C&P from BBC Swahili.

Jamshid bin Abdullah Al Said: Fahamu aliko Sultani wa mwisho wa Zanzibar​

29 Septemba 2020
Imeboreshwa 12 Januari 2021
Jamshid bin Abdullah Al Said

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamshid bin Abdullah Al Said

Baada ya kuishi mafichoni hususan nchini Uingereza Jamshid bin Abdullah Al Said, aliyekuwa sultani wa Zanzibar , akiwa ndio Sultan wa mwisho wa masultani waliotawala miaka 91 kisiwani humo kutoka kwa familia ya al Busaid , alihamia katika ufalme wa Oman.
Mtu huyu ambaye aliitawala Zanzibar hadi alipoondolewa katika mapinduzi ya mwezi Januari 1964 aliwasili mjini Muscat hivi karibuni.
Gazeti la The Guardian linasema kwamba serikali ya Oman ilikataa maombi kadhaa yaliotolewa na Sultan huyo ili kumruhusu kuishi katika ufalme huo.
Lakini ndugu yake mmoja mjini Muscat aliambia gazeti la The National mjini Abu Dhabi kwamba ombi lake la kutaka kuishi Oman lilikubalika kutokana na umri wake.
Amekua akitaka kuishi siku zake za mwisho katika taifa hilo la mababau zake ''na sasa anafurahia kuweza kufanya hivyo'', aliongezea.
Afisa mmoja wa serikali alikataa kutoa tamko lake kulingana na gazeti la The Guardian.
Uhuru na mapinduzi
Jamshid bin Abdullah alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963.
Mnamo mwezi Disemba 1963, kisiwa hicho kilichopo maili 22 kutoka pwani ya Tanzania kilijipatia Uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

Ijapokuwa kuna madai kwamba mapinduzi hayo yaliwahusisha wapaiganaji 600 chini ya uongozi wa kikomunisti wa John Okelo, yaliungwa mkono na raia wengi wa Afrika.
Maelfu ya Waarabu waliuawa katika ghasia huku maelfu zaidi wakitoroka visiwa hivyo kwa hofu ya maisha yao.
Baada ya kuangushwa kwa usultani mwezi Januari visiwa vya zanzibar vikawa Jamhuri. Mwezi Aprili rais wa Zanzibar na Tanganyika walitia saini ya kuwa na taifa moja kwa jina Tanzania, ambapo Zanzibar ilibaki na sehemu ya uhuru wake.

Uhamishoni​

Jamshid bin Abdullah alitoroka Zanzibar kwa kutumia dau moja la kifahari baada ya wanamapinduzi kuliteka kasri lake.
Baada ya kukataliwa kuingia Oman, alisafiri hadi Uingereza akiwa na ndugu na jamaa zake .
Wiki mbili baadaye Gazeti la The New York Times liliripoti kwamba hali ya kifedha ya Sultan huyo ilimlazimu kuondoka katika hoteli ya kifahari aliokuwa akiishi karibu na kasri la Buckingham hadi hoteli ya Modest iliopo karibu na eneo la Bayswater.
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

Gazeti hilo linasema kwamba mwezi Mei 1964, serikali ya Uingereza ilimpa Sultan huyo paundi elfu moja.
Fedha hizo zilimsaidia kuishi katika nyumba moja iliokuwa katika barabara tulivu, katika eneo la SouthSea, Hampshire. Mwaka 2000 , aliyekuwa rais wa Zanzibar Salimin Amour alimpatia uhuru Jamshid bin Abdullah.
Amor wakati huo alisema kwamba Jamshid alikuwa huru kurudi Zanzibar lakini sio kama sultan bali kama raia.
Na kwa zaidi ya miaka 56 alioishi katika hoteli hiyo iliopo karibu na ufukwe wa bahari nchini Uingereza , Sultan huyo hakuvutia watu.
Jamsheed

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mwandishi Ned Donovan, aliyekuwa akifuatilia hadithi hiyo ya Sultan alisema: Sikupata mkaazi hata mmoja ambaye alifahamu uwepo wake , hakuzungumza na vyombo vya habari , aliishi maisha ya kunyamaza sana .
Fahamu uhusiano wa Zanzibar na Oman
Zanzibar ipo katika bahari hindi mashariki mwa pwani ya bara Afrika. Kisiwa hicho kiliungana na Tanganyika bara lakini kina rais wake na bunge ambalo linfahamika kama baraza la wawakilishi.
Baada ya kuwa kituo cha utumwa , kilivutia wakaazi wengi waliokuwa Waafrika, Waarabu, Wazungu na Wahindi.
Asili ya watu visiwani Zanzibar ni mchanganyiko wa Waafrika walio wengi, Waarabu wa Omani na Yemen mbali na Wahindi. Asilimia 98 ya wakaazi wa kisiwa hicho ni Waislamu.
Zanzibar hujulikana kama kisiwa cha karafuu kutokana na wingi wa zao la karafuu . Wakati Waarabu wa Omani walipokiteka kisiwa cha Mombasa kutoka kwa Wareno 1698, Zanzibar na Pemba zilikua chini ya watawala wa Kiarabu kutoka Omani, na baada ya zaidi ya karne moja waliondoka na kukiwacha kisiwa hicho chini ya utawala wa wakaazi.
Sultan wa kwanza kuishi Zanzibar alikuwa Saeed bin Sultan baada ya kukitembelea kisiwa hicho mara kadhaa baada ya mwaka wa 1830, wakati huo akipanua ushawishi wake katika pwani ya Afrika ya mashariki.
Baada ya kifo chake 1856 , utawala wa Sultan uligawanywa kati ya wanawe wawili , mmoja akiwa Oman na mwengine akisalia Zanzibar, na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said.

Rejea za Mwandishi kuhusu Zanzibar
Paskali
Acha kwanza sauti zako nyingine zikamilike, unatuchanganya sasa.
 

Wanabodi,​

Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963, akiwa na umri wa miaka 95, sauti hiyo imeniambia huyu Sultani anatamani sana kurejea Zanzibar, kuja kukamilisha ..., na kuwa atafurahi sana, na atakuwa na amani sana, iwapo kama ata... akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Natoa wito kwa Rais Samia, na rais Mwinyi, kumfanyia application ya zile 4R za Rais Samia kwa kumsamehe, kumjengea mazingira wezeshi arejee Zanzibar, ili ... akiwa Zanzibar.

Hili likifanyika, Rais Samia na rais Mwinyi, mtabarikiwa sana for healing machungu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Zanzibar itabarikiwa sana!.

NB. Kuna gaps nimeziacha, ili ujumbe huu uwafikie wale tuu wenye uwezo to read in between the lines!.

Nawatakia Mapumziko mema ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Paskali.

The story ni C&P from BBC Swahili.

Jamshid bin Abdullah Al Said: Fahamu aliko Sultani wa mwisho wa Zanzibar​

29 Septemba 2020
Imeboreshwa 12 Januari 2021
Jamshid bin Abdullah Al Said

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamshid bin Abdullah Al Said

Baada ya kuishi mafichoni hususan nchini Uingereza Jamshid bin Abdullah Al Said, aliyekuwa sultani wa Zanzibar , akiwa ndio Sultan wa mwisho wa masultani waliotawala miaka 91 kisiwani humo kutoka kwa familia ya al Busaid , alihamia katika ufalme wa Oman.
Mtu huyu ambaye aliitawala Zanzibar hadi alipoondolewa katika mapinduzi ya mwezi Januari 1964 aliwasili mjini Muscat hivi karibuni.
Gazeti la The Guardian linasema kwamba serikali ya Oman ilikataa maombi kadhaa yaliotolewa na Sultan huyo ili kumruhusu kuishi katika ufalme huo.
Lakini ndugu yake mmoja mjini Muscat aliambia gazeti la The National mjini Abu Dhabi kwamba ombi lake la kutaka kuishi Oman lilikubalika kutokana na umri wake.
Amekua akitaka kuishi siku zake za mwisho katika taifa hilo la mababau zake ''na sasa anafurahia kuweza kufanya hivyo'', aliongezea.
Afisa mmoja wa serikali alikataa kutoa tamko lake kulingana na gazeti la The Guardian.
Uhuru na mapinduzi
Jamshid bin Abdullah alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963.
Mnamo mwezi Disemba 1963, kisiwa hicho kilichopo maili 22 kutoka pwani ya Tanzania kilijipatia Uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

Ijapokuwa kuna madai kwamba mapinduzi hayo yaliwahusisha wapaiganaji 600 chini ya uongozi wa kikomunisti wa John Okelo, yaliungwa mkono na raia wengi wa Afrika.
Maelfu ya Waarabu waliuawa katika ghasia huku maelfu zaidi wakitoroka visiwa hivyo kwa hofu ya maisha yao.
Baada ya kuangushwa kwa usultani mwezi Januari visiwa vya zanzibar vikawa Jamhuri. Mwezi Aprili rais wa Zanzibar na Tanganyika walitia saini ya kuwa na taifa moja kwa jina Tanzania, ambapo Zanzibar ilibaki na sehemu ya uhuru wake.

Uhamishoni​

Jamshid bin Abdullah alitoroka Zanzibar kwa kutumia dau moja la kifahari baada ya wanamapinduzi kuliteka kasri lake.
Baada ya kukataliwa kuingia Oman, alisafiri hadi Uingereza akiwa na ndugu na jamaa zake .
Wiki mbili baadaye Gazeti la The New York Times liliripoti kwamba hali ya kifedha ya Sultan huyo ilimlazimu kuondoka katika hoteli ya kifahari aliokuwa akiishi karibu na kasri la Buckingham hadi hoteli ya Modest iliopo karibu na eneo la Bayswater.
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

Gazeti hilo linasema kwamba mwezi Mei 1964, serikali ya Uingereza ilimpa Sultan huyo paundi elfu moja.
Fedha hizo zilimsaidia kuishi katika nyumba moja iliokuwa katika barabara tulivu, katika eneo la SouthSea, Hampshire. Mwaka 2000 , aliyekuwa rais wa Zanzibar Salimin Amour alimpatia uhuru Jamshid bin Abdullah.
Amor wakati huo alisema kwamba Jamshid alikuwa huru kurudi Zanzibar lakini sio kama sultan bali kama raia.
Na kwa zaidi ya miaka 56 alioishi katika hoteli hiyo iliopo karibu na ufukwe wa bahari nchini Uingereza , Sultan huyo hakuvutia watu.
Jamsheed

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mwandishi Ned Donovan, aliyekuwa akifuatilia hadithi hiyo ya Sultan alisema: Sikupata mkaazi hata mmoja ambaye alifahamu uwepo wake , hakuzungumza na vyombo vya habari , aliishi maisha ya kunyamaza sana .
Fahamu uhusiano wa Zanzibar na Oman
Zanzibar ipo katika bahari hindi mashariki mwa pwani ya bara Afrika. Kisiwa hicho kiliungana na Tanganyika bara lakini kina rais wake na bunge ambalo linfahamika kama baraza la wawakilishi.
Baada ya kuwa kituo cha utumwa , kilivutia wakaazi wengi waliokuwa Waafrika, Waarabu, Wazungu na Wahindi.
Asili ya watu visiwani Zanzibar ni mchanganyiko wa Waafrika walio wengi, Waarabu wa Omani na Yemen mbali na Wahindi. Asilimia 98 ya wakaazi wa kisiwa hicho ni Waislamu.
Zanzibar hujulikana kama kisiwa cha karafuu kutokana na wingi wa zao la karafuu . Wakati Waarabu wa Omani walipokiteka kisiwa cha Mombasa kutoka kwa Wareno 1698, Zanzibar na Pemba zilikua chini ya watawala wa Kiarabu kutoka Omani, na baada ya zaidi ya karne moja waliondoka na kukiwacha kisiwa hicho chini ya utawala wa wakaazi.
Sultan wa kwanza kuishi Zanzibar alikuwa Saeed bin Sultan baada ya kukitembelea kisiwa hicho mara kadhaa baada ya mwaka wa 1830, wakati huo akipanua ushawishi wake katika pwani ya Afrika ya mashariki.
Baada ya kifo chake 1856 , utawala wa Sultan uligawanywa kati ya wanawe wawili , mmoja akiwa Oman na mwengine akisalia Zanzibar, na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said.

Rejea za Mwandishi kuhusu Zanzibar
Paskali
Huu sasa uchuro.
 
Hapa kuna gap na hapa ndio kiini cha Mapinduzi kilipoanzia Mwingereza kuacha Uhuru chini ya Sultan na Sultan akampa M Shamte (Mpemba/Mshirazi) madaraka,

Nilikua sijui kwamba washirazi ndio wa Pemba yaan hili neno washirazi kwenye neno Afro-Shiraz Party limenipigisha msamba sana kwenye uwezo wangu wa kufikiria yaan hii neno Shiraz ndio ukawa misamiati mgumu kumbe wanakwambia ni wa Persia sijua walitoka ghuba ya uajemi walikua waajemi kutoka Iran mara walikua huko Shiraz Iran wakahamia pwani Afrika Mashariki miaka elfu 3 iliyopita mara ni watu wa dhehebu la Shia mara ni wale waliounda vyama vya ZNP na ZPFP/ZPPP mara ni wahizbu lakini kumbe wanazingumziwa wa Pemba
Hapo ndipo ule MSTARI MWEKUNDU unapita kati ya Unguja na Pemba!!!.
 
Walio hasiwa, walioamriwa kudondoka kwenye minazi, waliotumbuliwa mimba, waliotoswa baharini na hawa waarabu nani anawaombea dua, nani anawafidia hata kwa kufikirika tu, nani anawakumbuka, nani anajali basi?? Leo unataka kurejesha kumbukumbu mbaya miongoni mwa jamii?? Afterall huko aliko bado ni kwao.
 

Wanabodi,​

Baada ya kuisoma hii story hapa chini, nimeisikia sauti ya ndani, the voices from within ikiniambia huyu Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said, ambaye alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963, akiwa na umri wa miaka 95, sauti hiyo imeniambia huyu Sultani anatamani sana kurejea Zanzibar, kuja kukamilisha ..., na kuwa atafurahi sana, na atakuwa na amani sana, iwapo kama ata... akiwa Zanzibar mahali alipozaliwa!.

Natoa wito kwa Rais Samia, na rais Mwinyi, kumfanyia application ya zile 4R za Rais Samia kwa kumsamehe, kumjengea mazingira wezeshi arejee Zanzibar, ili ... akiwa Zanzibar.

Hili likifanyika, Rais Samia na rais Mwinyi, mtabarikiwa sana for healing machungu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na Zanzibar itabarikiwa sana!.

NB. Kuna gaps nimeziacha, ili ujumbe huu uwafikie wale tuu wenye uwezo to read in between the lines!.

Nawatakia Mapumziko mema ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Paskali.

The story ni C&P from BBC Swahili.

Jamshid bin Abdullah Al Said: Fahamu aliko Sultani wa mwisho wa Zanzibar​

29 Septemba 2020
Imeboreshwa 12 Januari 2021
Jamshid bin Abdullah Al Said

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamshid bin Abdullah Al Said

Baada ya kuishi mafichoni hususan nchini Uingereza Jamshid bin Abdullah Al Said, aliyekuwa sultani wa Zanzibar , akiwa ndio Sultan wa mwisho wa masultani waliotawala miaka 91 kisiwani humo kutoka kwa familia ya al Busaid , alihamia katika ufalme wa Oman.
Mtu huyu ambaye aliitawala Zanzibar hadi alipoondolewa katika mapinduzi ya mwezi Januari 1964 aliwasili mjini Muscat hivi karibuni.
Gazeti la The Guardian linasema kwamba serikali ya Oman ilikataa maombi kadhaa yaliotolewa na Sultan huyo ili kumruhusu kuishi katika ufalme huo.
Lakini ndugu yake mmoja mjini Muscat aliambia gazeti la The National mjini Abu Dhabi kwamba ombi lake la kutaka kuishi Oman lilikubalika kutokana na umri wake.
Amekua akitaka kuishi siku zake za mwisho katika taifa hilo la mababau zake ''na sasa anafurahia kuweza kufanya hivyo'', aliongezea.
Afisa mmoja wa serikali alikataa kutoa tamko lake kulingana na gazeti la The Guardian.
Uhuru na mapinduzi
Jamshid bin Abdullah alizaliwa tarehe 16 Septemba 1929 na kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kifo cha babake , Abdullah Bin Khalifa mwezi Julai 1963.
Mnamo mwezi Disemba 1963, kisiwa hicho kilichopo maili 22 kutoka pwani ya Tanzania kilijipatia Uhuru wake kutoka kwa Uingereza.
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
John Okelo aliyeongoza vita dhidi ya Jamshid

Ijapokuwa kuna madai kwamba mapinduzi hayo yaliwahusisha wapaiganaji 600 chini ya uongozi wa kikomunisti wa John Okelo, yaliungwa mkono na raia wengi wa Afrika.
Maelfu ya Waarabu waliuawa katika ghasia huku maelfu zaidi wakitoroka visiwa hivyo kwa hofu ya maisha yao.
Baada ya kuangushwa kwa usultani mwezi Januari visiwa vya zanzibar vikawa Jamhuri. Mwezi Aprili rais wa Zanzibar na Tanganyika walitia saini ya kuwa na taifa moja kwa jina Tanzania, ambapo Zanzibar ilibaki na sehemu ya uhuru wake.

Uhamishoni​

Jamshid bin Abdullah alitoroka Zanzibar kwa kutumia dau moja la kifahari baada ya wanamapinduzi kuliteka kasri lake.
Baada ya kukataliwa kuingia Oman, alisafiri hadi Uingereza akiwa na ndugu na jamaa zake .
Wiki mbili baadaye Gazeti la The New York Times liliripoti kwamba hali ya kifedha ya Sultan huyo ilimlazimu kuondoka katika hoteli ya kifahari aliokuwa akiishi karibu na kasri la Buckingham hadi hoteli ya Modest iliopo karibu na eneo la Bayswater.
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Jamsheed na mkewe Sheikha Anisa na wanawe 1964 mjini London

Gazeti hilo linasema kwamba mwezi Mei 1964, serikali ya Uingereza ilimpa Sultan huyo paundi elfu moja.
Fedha hizo zilimsaidia kuishi katika nyumba moja iliokuwa katika barabara tulivu, katika eneo la SouthSea, Hampshire. Mwaka 2000 , aliyekuwa rais wa Zanzibar Salimin Amour alimpatia uhuru Jamshid bin Abdullah.
Amor wakati huo alisema kwamba Jamshid alikuwa huru kurudi Zanzibar lakini sio kama sultan bali kama raia.
Na kwa zaidi ya miaka 56 alioishi katika hoteli hiyo iliopo karibu na ufukwe wa bahari nchini Uingereza , Sultan huyo hakuvutia watu.
Jamsheed

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mwandishi Ned Donovan, aliyekuwa akifuatilia hadithi hiyo ya Sultan alisema: Sikupata mkaazi hata mmoja ambaye alifahamu uwepo wake , hakuzungumza na vyombo vya habari , aliishi maisha ya kunyamaza sana .
Fahamu uhusiano wa Zanzibar na Oman
Zanzibar ipo katika bahari hindi mashariki mwa pwani ya bara Afrika. Kisiwa hicho kiliungana na Tanganyika bara lakini kina rais wake na bunge ambalo linfahamika kama baraza la wawakilishi.
Baada ya kuwa kituo cha utumwa , kilivutia wakaazi wengi waliokuwa Waafrika, Waarabu, Wazungu na Wahindi.
Asili ya watu visiwani Zanzibar ni mchanganyiko wa Waafrika walio wengi, Waarabu wa Omani na Yemen mbali na Wahindi. Asilimia 98 ya wakaazi wa kisiwa hicho ni Waislamu.
Zanzibar hujulikana kama kisiwa cha karafuu kutokana na wingi wa zao la karafuu . Wakati Waarabu wa Omani walipokiteka kisiwa cha Mombasa kutoka kwa Wareno 1698, Zanzibar na Pemba zilikua chini ya watawala wa Kiarabu kutoka Omani, na baada ya zaidi ya karne moja waliondoka na kukiwacha kisiwa hicho chini ya utawala wa wakaazi.
Sultan wa kwanza kuishi Zanzibar alikuwa Saeed bin Sultan baada ya kukitembelea kisiwa hicho mara kadhaa baada ya mwaka wa 1830, wakati huo akipanua ushawishi wake katika pwani ya Afrika ya mashariki.
Baada ya kifo chake 1856 , utawala wa Sultan uligawanywa kati ya wanawe wawili , mmoja akiwa Oman na mwengine akisalia Zanzibar, na kisiwa hicho kilikuwa chini ya utawala wa Uingereza baada ya kifo cha sultan Bargash bin Said.

Rejea za Mwandishi kuhusu Zanzibar
Paskali
Kama anatakiwa asamehewe je kosa lake ni lipi?
JokaKuu zitto junior Nguruvi3 Mohamed Said
 
Back
Top Bottom