Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,264
- 4,998
Usitafute justifications ,,hakuna muislamu wa kwenda kudai talaka mahakamani labda awe mpumbavu ...watu wamepewa ruksa ya kutengana pindi hali ikiwa tafrani ....Yann tusumbuane mahakamani..Mahakamani kuna ndoa kibao zinavunjwa za kila dini,hivyo sio wakristo pekee wasiamini sheria za dini yao