Wakatoliki na walutheri ndio wana hizo sheria,kwa walokole unafungishwa vizuri tuMimi ni mkristo na nina ndoa ya kikristo lakini kuna jambo moja nimeliona linanifikirisha saana kuhusu ndoa zetu hizi
Kuna dogo namfahamu ana miaka 27 lakini miaka miwili nyuma alifunga ndoa ya kikristo. Miezi kama sita nyuma ndoa yake imevunjika yaan ndoa ilidumu kwa mwaka mmoja na nusu tu. Saivi kila mtu ana maisha yake na dogo hana mpango wa kurudiana na huyo mwanamke na uzuri au ubaya ni kwamba katika ndoa hii haikupata mtoto
Kinacho nifikirisha na tunalojadili ni kua kwa mujibu wa dini ya kikristo huwezi kufunga ndoa nyingine na mtu mwingine kama uliefunga nae ndoa yupo hai au mpk afe ndo ufunge ndoa nyingine,
Na ukianza kuishi na mtu mwingine ambae hujafunga nae ndoa mnaonekana ni wazinzi na huwezi kupata huduma za kanisa maana unaishi nje ya utaratibu wa kidini
Je hawa vijana walioachana wanaweza kuishi bila kua na wenza wengine maisha yao yote kwa ndoa iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu pekee.
Nadhani ipo haja ya dini zetu hizi kurudi kulitazama upya
Biblia haisomwi kama mashairi ya Shabaan Robert.Kumbe maandiko ya Biblia yanakataa hata kutoa taraka, sasa kama mambo magumu kuna mahali tutaponea kweli?
Mark 10:11-12, “And He said to
them, ‘Whoever divorces his wife and marries another woman commits adultery against her; and if she herself divorces her husband and marries another man, she is committing adultery.'”
Itabidi tuwe single for life
Ungejibu kiustaarabu usingepoteza kituBiblia haisomwi kama mashairi ya Shabaan Robert.
Mungu hapendi kuachana!Kumbe maandiko ya Biblia yanakataa hata kutoa taraka, sasa kama mambo magumu kuna mahali tutaponea kweli?
Mark 10:11-12, “And He said to
them, ‘Whoever divorces his wife and marries another woman commits adultery against her; and if she herself divorces her husband and marries another man, she is committing adultery.'”
Itabidi tuwe single for life
Ungejibu kiustaarabu usingepoteza kitu
Biblia inakataa ndoa za matalaMungu hapendi kuachana!
Anapenda kuishi pamoja!!
Cha msingi ukiona Mambo magumu ongeza MKE kuficha mapungufu ya aliyepo!!
Kumbe tumekuwa dictated kwamba shida zozote tuvumilie isipokuwa uzinzi, what if mke anatishia kukutoa roho? 😏Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Kwahiyo unataka kutueleza unaishi kwa mujibu wa Biblia?Kumbe tumekuwa dictated kwamba shida zozote tuvumilie isipokuwa uzinzi, what if mke anatishia kukutoa roho? 😏
calm down kijana, type taratibu tuelewaneKwahiyo unataka kutueleza unaishi kwa mujibu wa Biblia?
Unazijuwa Ten commandments?
Rubbish naweza kuwa Baba yako, shenzi taipu.calm down kijana, type taratibu tuelewane
Hiyo ilikuwa njia ya kuongea, naona umekereka. I am sorry MrRubbish naweza kuwa Baba yako, shenzi taipu.