NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
- Thread starter
- #21
hata alikuwa anapenda kutembea na mke moja lakini alikuwa nao wawili,,,,Weka evidence. Hizi zama za ukweli na uwazi..
Thubitisha point yako kwa ushahidi.
Maana kikwete tunamjua Salma kikwete ndie mke wake. Na alimuoa baada ya mke wake wa kwanza mama yao kina Ridhwani. Kufariki dunia. Kama ana mwingine mtaje na uweke ushahidi
Hussein mwinyi mke wake tunayemjua ni Mariam Mwinyi. Kama ana mwingine mtaje na uweke ushahidi
Labda hujaishi nchi hii, kikwete enzi zake kwa warembo ni kama tairi na rim, hatangazi ndoa zake hadharani, nadhani mke wake wa mwisho kuoa ni mtoto wa asas miaka ya 2009, kimya kimya
yasemekana ana wake wanne
Matukio Tisa yaliyomdhalilisha Rais Kikwete 2006-2010
kuoa mke wa nne mtoto wa zakia meghji hivyo kuzihirisha wazi ule msemo wa serikali ya kishikaji kwa kuwa huyo mama aliwahi kuwa waziri kwenye serikali yake so mama mkwe wa mkulu, ndani ya hawa wake 4 yumo huyu aliyeoa iringa mtoto wa asas mwaka jana?
www.jamiiforums.com