Vijana wengi wa kikristo huchelewa kuoa ama hawaoi ni ushahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza

Na chanzo kikuu ni kufuata sheria za watu viongozi wa makanisa wanaofanya ndoa ziwe ngumu badala ya kufata maandiko matakatifu yaliyorahisisha ndoa


1. KUVUNJA NDOA
Sheria ya ndoa za kikristo imekataza kuvunja ndoa kasoro tu ukiwa na ushahidi watu wajue "unachapiwa" na ndio maana huwa mafumanizi yanaandaliwa, cha ajabu watu wanakimbilia mahakamani kuvunja ndoa zao kwa sheria, sababu zao ni kwamba mwenzake ni mchawi, kwa miezi anamnyima unyumba, ni mlevi, anatukania wazazi wake, anatenga ndugu zake, n.k inashindikana vipi kuvumiliana kwenye shida kama mlivyokubali kiapo cha shida na raha ?


2. KUOA / KUOLEWA UPYA
Sheria ya kuoa upya ndoa za kikristo ni pale tu mwenza wako akifa ama uwe na ushahidi watu wajue unachapiwa, cha ajabu mtu akishindwana na mwenzake kwa sababu zilizo nje ya hizo mfano kunyimwa unyumba, mke anatenga ndugu zake, mme anampiga sana, n.k. anakimbilia mahakamani kuvunja ndoa na anaoa ama kuolewa upya,


3. KUONGEZA MKE / MME
Sheria za kuongeza mke hazipo kwenye ukristo lakini mambo ni tofauti, Michepuko imekuwa ni wimbo wa taifa kwa sasa hasa kwa wakristo maana hawarusiwi kuongeza mke, imekuwa kama fashion, mtu anavyoishi na mchepuko ni kama mke wake tu, ni kawaida hata kukuta mchepuko kajengewa nyumba, chanzo cha haya yote utasikia "mme kaenda jela kifungo cha maisha", "mke kaenda kusoma ulaya miaka mitatu", "nyumbani kuna vurugu hakuna amani hatuongei", n.k

4.MIMBA AMA KUZAA KABLA YA NDOA

Imekuwa kama fashion sikuhizi, mimba ama kuwa na watoto kwanza kabla ya ndoa, sababu ni kwamba ndoa ya kikristo ni mpaka kifo, wengi wanaogopa kuoa wanawake wenye matatizo ya uzazi waje kuishi bila watoto, wazazi wao wakose wajukuu....
Mimi ni kijana. Nina ndoa sasa mwaka na miezi. Lazima ufahamu kuna ndoa na utandawazi. Ndoa ni makubaliano Kati ya pande mbili Bwana na Bibi. Alafu kuna cheti cha ndoa. Hii ni karatasi itokayo Serikalini ikiwa na maana ya kushughulikia mambo ya mirathi na ushahidi wa Bwana na Bibi kisheria. Unaposema kuhusu mafarakano na kuvunjika hapo tunaongelea utandawazi. Unaposema kuhusu kuzaa kabla ya ndoa pia ni utandawazi. Usichanganye ndoa na utandawazi haswa kwa hii nchi ya kitandawazi.
 
Baadhi ya point ni matakwa ya kinadamu sio dini.. Hata wanaofungisha izo ndoa ni watu kama wewe wanaangalia maslahi yao.Dini haihusiki.
 
Wanawake wa kikristo nanyi mnashindwaje kuvumilia kuwasubiria wanaume wakipewa vifungo vya miaka 30 jela ?

Mna visingizio vya ajabu sana kuolewa upya, unashindwa vipi kumsubiri mme wako amalize kifungo cha miaka 30 ndio mje mpate mtoto ?
Fallacy. Umeconduct utafiti kwa wangapi mpenzi?? Very simple achana na Ukristo babaa. Unapoona bidhaa dukani haikufai si unaenda tafuta inayokufaa ama!!

Maongezi ya kidini na faults za kidini ni very cheap. Unataka mabadiliko... stand out. Be the change.
 
Mimi siwezi kuoa ndoa ya kikristo ambayo inafata sheria za viongozi wa makanisa waliozitunga kulingana na tamaduni za nchi zao za ulaya na sio kufata maandiko .... Heri nioe ndoa ya kitamaduni.

Mfano mdogo tu, Yesu hakuzungumzia chochote kuhusu kukataza kuoa upya wala kukataza kuongeza mke, alichozungumzia ni utaratibu wa kumuacha mke ikiwa tu kazini, basiiii!!
Kufungua thread zaidi ya nne ndani ya miezi 2 kuongelea tu ndoa za kikristu inafikirisha brother
 
Na chanzo kikuu ni kufuata sheria za watu viongozi wa makanisa wanaofanya ndoa ziwe ngumu badala ya kufata maandiko matakatifu yaliyorahisisha ndoa


1. KUVUNJA NDOA
Sheria ya ndoa za kikristo imekataza kuvunja ndoa kasoro tu ukiwa na ushahidi watu wajue "unachapiwa" na ndio maana huwa mafumanizi yanaandaliwa, cha ajabu watu wanakimbilia mahakamani kuvunja ndoa zao kwa sheria, sababu zao ni kwamba mwenzake ni mchawi, kwa miezi anamnyima unyumba, ni mlevi, anatukania wazazi wake, anatenga ndugu zake, n.k inashindikana vipi kuvumiliana kwenye shida kama mlivyokubali kiapo cha shida na raha ?


2. KUOA / KUOLEWA UPYA
Sheria ya kuoa upya ndoa za kikristo ni pale tu mwenza wako akifa ama uwe na ushahidi watu wajue unachapiwa, cha ajabu mtu akishindwana na mwenzake kwa sababu zilizo nje ya hizo mfano kunyimwa unyumba, mke anatenga ndugu zake, mme anampiga sana, n.k. anakimbilia mahakamani kuvunja ndoa na anaoa ama kuolewa upya,


3. KUONGEZA MKE / MME
Sheria za kuongeza mke hazipo kwenye ukristo lakini mambo ni tofauti, Michepuko imekuwa ni wimbo wa taifa kwa sasa hasa kwa wakristo maana hawarusiwi kuongeza mke, imekuwa kama fashion, mtu anavyoishi na mchepuko ni kama mke wake tu, ni kawaida hata kukuta mchepuko kajengewa nyumba, chanzo cha haya yote utasikia "mme kaenda jela kifungo cha maisha", "mke kaenda kusoma ulaya miaka mitatu", "nyumbani kuna vurugu hakuna amani hatuongei", n.k

4.MIMBA AMA KUZAA KABLA YA NDOA

Imekuwa kama fashion sikuhizi, mimba ama kuwa na watoto kwanza kabla ya ndoa, sababu ni kwamba ndoa ya kikristo ni mpaka kifo, wengi wanaogopa kuoa wanawake wenye matatizo ya uzazi waje kuishi bila watoto, wazazi wao wakose wajukuu....
Lakini kuongeza mke sio kosa mbuna mfalme Sleiman alioa 600 na michepuko 300
 
Watu hukimbilia mahakamani kwasababu sheria za ndoa za kikristo haziwei kuyatatua matatizo yao.


-Mtu unaishi na mwanamke ana kiburi kupindukia, uchumbani alifeki ana tabia nzuri ili aolewe, unaenda kanisani eti mnaambiwa mvumiliane, haiingii akilini, solution ni kwenda mahakamani

-Mwanamke amegeuzwa kama ngoma anapigwa kila siku, huko kanisani mnaambiwa mvumiliane mpaka kifo, ni ujinga wa wapi huu, solution ni kwenda mahakamani.

-Mwanamke kamgomea mumewe kuongeza mtoto, yeye anataka mtoto moja tu, ni upuuzi huu! Sheria za kikristo zinambana kuvunja ndoa na kuoa upya, inabidi aende mahakamani

-Mwanamke anamnyima mme wake unyumba takribani miezi 6 sasa, iweje mwnaume asipewe haki yake ya kindoa na kanisa liendelee kukazia hauwezi kupata mbadala, ndio hapa solution huwa ni kwenda mahakamani.

-Mwanaume kaenda jela kifungo cha miaka 30 kamwacha mke wake na huko jela hawaruhusu mme hata kumtunga mimba mke wake, mke inabidi aende mahakamani kuomba ndoa ivunjwe aolewe na mwengine azae watoto awe na familia. kanisani hawawezi kuvunja ndoa na kumruhusu aolewe upya labda nao watoke nje ya sheria zao
 
Aiseee..Ila nadhani Biblia inatafsiriwa vibaya na viongozi wa dini. Maandiko yanasema isipokuwa kwa kosa la uzinzi, mwanaume mvumilie mke wako na usiwe na uchungu naye.

Hivyo talaka kwenye maandiko ipo sema viongozi wa dini hawaitaki maana kama leo hii itaruhusiwa, hiiiiiii tutashuhudia mambo mengi sana kwenye haya makanisa.

Sasa, kukwepa hii kadhia Mtume Paulo alishauri kabisa watu wasioe au kuolewa, wajikite kwenye kumtumikia Mungu. Akimaanisha kwamba duniani kuna mambo muhimu zaidi ya ndoa.

Siyo lazima kuoa au kuolewa....
 
Hata kuwa na mke mmoja sio sawa kabisa
Kuoa mke moja hakujawahi kukatazwa kwenye biblia maana hata kina Musa waliotuletea amri kumi walikuwa na mke zaidi ya moja kwa baraka zote za Mungu.

Yesu alielezea tu kumpa talaka mwanamke na wala hakugusia kuweka katazo la kuoa mke zaidi ya moja.

Hizi sheria za ndoa za sasa zilitafsiriwa kuendana na tamaduni za nchi kama Romania ambako dini ya kwanza ya kikristo ilizaliwa na hata hapo baadae dini nyingine zilipojiengua kitoka uroma, sheria za ndoa zilifanana na dini ya kwanza ya kikristo
 
Back
Top Bottom