Vijana wa kitambo chetu

Vijana wa kitambo chetu

Bwashee , haya maisha nyumbu wanaoitwa motivation spika wanawadanganya sana vijana laiti ningepata hata ka ujasiri ka kuwasanua wana hapa jf kummmke
Vijana tunahangaishwa na magari na maisha mazuri tusijue watu wameyavumilia, kupambana kukosa na kupata mpka kufikia hapo

Sasa sisi mtu anasema weka laki upate million, hufikirii laki Tisa itatoka wapi ??

Nadhani vijana tuwe na subra na nidhamu ya kazi, pesa na kutengeneza uhalisia kwenye utafutaji nje ya hapo ni vilio
 
Vijana tunahangaishwa na magari na maisha mazuri tusijue watu wameyavumilia, kupambana kukosa na kupata mpka kufikia hapo

Sasa sisi mtu anasema weka laki upate million, hufikirii laki Tisa itatoka wapi ??

Nadhani vijana tuwe na subra na nidhamu ya kazi, pesa na kutengeneza uhalisia kwenye utafutaji nje ya hapo ni vilio
Bwashee na wewe unaendeshwa na huu ujinga kwani?
 
Back
Top Bottom