Usijipe moyo wewe ni mzeeMvi sio uzee nilianza kupata mvi nikiwa 28, ni jambo la kurithi nadhani
Mama zetu wengi tulikuwa tunawaona wakubwa aseeh, Ila ukifkia umri wao kipindi hicho unaona tofauti hata wazee wetu, maybe mambo yamebadilika unakuta mama kafunga kitambaa kichwani hiko kanga kiunoni basi tafraniHata sielewi. Mama yangu akiwa na miaka 30 katuzaa wote tayari na nilikuwa namuona ni bonge la jimama😂😂😂😂eti sasa hivi na mimi ndio nipo huko huko😂😘😂
Wanasema sisi ambao kwenye ukoo wetu watu hawafi basi tutaishi miaka mingi pia.Bibi yangu ana 103 na kichwa hakuna mvi.
Ni changamoto gani ambazo unahisi zinawakumba hao vijana wa kuanzia 30 to 35, kutokana na uzoefu wako, ukiachana na hizo tajwa hapo juu?Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Kumbe umekula kula vijichumvi...Soon naingia floor ya 3, navopenda uzee sasa, nikiingia floor ya 4, ni shangwe tupu.
Kula bia brazaTule bia bro
Bwashee kwa hizi familia zetu apache alolo changamoto kubwa mitaji ya biashara ,kujilinganisha kuogopa kufa , familia na changamoto ya kuanza upya .Ni changamoto gani ambazo unahisi zinawakumba hao vijana wa kuanzia 30 to 35, kutokana na uzoefu wako, ukiachana na hizo tajwa hapo juu?
Ni kweli,bibi zao wa wazazi wangu wote nimewakuta,Wanasema sisi ambao kwenye ukoo wetu watu hawafi basi tutaishi miaka mingi pia.
HaswaaUsijali Bwashee ,maisha ni haya haya.
Oh! 1985 bye bye UDSM. Kweli tumezeekaMimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Bwashee katika kima ambae angepaswa kutetemeka kwenye umri wa miaka 33 ni mimi🤔Nina safari ya muongo naa kufika hiyo 40 ila natetemeka nikiona bado mambo mengi duuh,
Nikifika umri huo nitafurahi na kuingia utu uzima sasa, nadhani nitarudi kulitumikia kanisa katoliki nikiwa bruda 😅
Chezea kuku na wine