Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 19,974
- 41,213
Hapaa niaingia ulingonii😊Kwa kweli ✅🤣
Bwashee tule tu pombe kwa fujo
Hapaa niaingia ulingonii😊Kwa kweli ✅🤣
Bwashee tule tu pombe kwa fujo
😄😄Kubali uhalisia mkuu si utachoka sasa kila wakati kimswaki! Mimi napenda sana mvi ila ndo sina hata moja, nazisubiri kwa hamu sanaMi kijana wa 1988 ,January ila supa blaki imekolea ,ni mamviii.Na mimi nimwendo wa kutembea na kimswaki tu .
Nakuona selfika , wewe ni mdau wa piko hakikaHapo ntakuwa Nimeshindwa vita japokuwa sio kizembe.View attachment 3639325
Pole sana brother,, ni kwenye harkati za mtu mweusiNilipitia msoto kinouma , unaona mtu anakunywa ego unamezama mate kmmmke
Thubutuu mbona Kassim hajakubali ?😄😄Kubali uhalisia mkuu si utachoka sasa kila wakati kimswaki! Mimi napenda sana mvi ila ndo sina hata moja, nazisubiri kwa hamu sana
Bwashee hapa umeniacha,Bwashee marina yangu mara nyingi tuna mingo😆
😄😄Kuna jirani yangu asubuhi anaazimia kabisa kuwa kaacha pombe ila mchana tu unamkuta ashatupia vitu, unamuuliza mbona ulisema hunywi tena utasikia yale ni maneno ya kukosa pesa tu nikipata pombe ndo kitu cha kwanza nakumbuka 😄Ila katika yote tusiache kula bia , nimekosa buku ila bia lazima nile bwashee
Mkuu pesa muhimu ila kuna vitu haiwezi kuzuia. Miaka 40 kwanza inakujaga na maumivu ya mgongo.Pesa ikiwa inasoma kwa Bank unaogopa kitu gani Bwashee?
Na JPMUdsm mlikua mnajifanya sana ujue🤣
Bwashee nimeweka maaskari kina mpaka humu nimeishia kuwatukana😄😄Kuna jirani yangu asubuhi anaazimia kabisa kuwa kaacha pombe ila mchana tu unamkuta ashatupia vitu, unamuuliza mbona ulisema hunywi tena utasikia yale ni maneno ya kukosa pesa tu nikipata pombe ndo kitu cha kwanza nakumbuka 😄
Unatupanga tu, 40 huna shindii.Hahaha ki kiaskari ulifikiri mimi ni kitoto eee😃
😁😁😁😁 kumbe kuna mvi za vuzi tena🙌🏽Mvi za kwenye vuzi ni kitu ambacho kinaogopesha sana.