Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,935
- 5,019
Tena 10 na miezi, wala sio 11 kamili.Mhmm 11 ? Sidhani mimi 86
Utamaduni.Ila katika yote tusiache kula bia , nimekosa buku ila bia lazima nile bwashee
Mwaka huo nilikuwa L.Y😂Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto ya kipara na kitambi 🤔
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Huaminii? Mie ndio nakuambia sasa, Dec mwaka huu naingia floor ya 3Dah siamini ujue😆
Maisha [emoji22] mpaka tunasahau kama kuna jf
Muwe mnatupa shikamoo basiHuaminii? Mie ndio nakuambia sasa, Dec mwaka huu naingia floor ya 3
Ananipa shida sana😅Huyu kaka ako analala aweke chupa pembeni aandike vizuri..😅
DA shuu, km kunizidi bas ni miaka 5 au 6. Haizidi hapo.Muwe mnatupa shikamoo basi
Kwasababu by this age you should've mastered unywaji wa pombe. Sasa mtu kwanza mwenyewe ngoja niishie hapoKwa nini unabisha umri wangu?
Wakwetu umenipa kazi sana kuelewa ulichoandika...Maki na wewe umekunywa visungura😆😆