Mdogo wangu nimekuzidi mingi sana [emoji1787][emoji1787]DA shuu, km kunizidi bas ni miaka 5 au 6. Haizidi hapo.
Ila shikamoo nakupaga mbona.
Third floor loading unajihisije kutuacha ujana mbich na kuingia ujana ulio iva?Huaminii? Mie ndio nakuambia sasa, Dec mwaka huu naingia floor ya 3
Unanywea ndani umekua mgonjwa!? Wengne hatuwez mpaka watu wawe wanajipitisha npiga tu makofiTulia mimi nakunywa ndani kwangu sio bar chafu na pombe chafu kama ile yako bwashee
Hata hivyo miaka 10 ni mingi mnoo,Hahhaa sawa, ila sio mbaya
W kwetu kwa hii I'd nilijenga identity moj ambayo , kiukweli nilishindwa kuishi kwenye uhalisia wangu , ila mimi siunanijua tena😅Wakwetu umenipa kazi sana kuelewa ulichoandika...
Na siku hizi tangu umejua kuanzisha thread ni vurugu tu😄
Najihisi vema na baraka, kuukimbilia uzee.Third floor loading unajihisije kutuacha ujana mbich na kuingia ujana ulio iva?
Usiondoke jamani...Shukrani Auntie yangu mzuri mzuri [emoji7] sijui nikitoka leo sijui lini nitarudi
Daah kwa mwanamke kutaka uzee ni kashesheNajihisi vema na baraka, kuukimbilia uzee.
😂😂😂
Yaani uko ndio hata kuingia sijaingia na nikiwa sipo na makapuku inajifia [emoji22]Usiondoke jamani...
Turudishie Makapuku yetu Auntie
Yaaaani😢Yaani uko ndio hata kuingia sijaingia na nikiwa sipo na makapuku inajifia [emoji22]
Kwaniniii?Daah kwa mwanamke kutaka uzee ni kasheshe
Irudishe Makaps bhanaa.Yaani uko ndio hata kuingia sijaingia na nikiwa sipo na makapuku inajifia [emoji22]
WENGINE tumebakiza miaka 11 kufika 50's
Mimi sipendii MVIIIII now nimegeuka kua Kasimu MAJALIWA MAJALIWA mwendo wa super black
😊
Nilipotea ndiyo Mdogo wangu....Hata wewe ulipotea mnoo, nikajua twins wanasumbua hadi ukasahau JF.
ila maisha ya nje ya JF, ni hatariii.
Kuna menopause, kuna vitu vingi na soko lake nalo linashukaKwaniniii?
Kama sie tunaoshuhudia juu ujenzi wa barabara za hapa dar.Hahaha mtu yupo 40 amejaa nywele masikioni😅😅😅