Vijana wa kitambo chetu

Vijana wa kitambo chetu

BIA YA NGAPIIII HAPOOOO
Kumi na saba bwashee, tukae kwa utulivu tu bwashee
Screenshot_2026-07-14_101358.jpg
 
Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January , kwa sasa tunatimiza miaka 40 na na wale wa mwishoni 86 🤔


Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia , kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo , ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔


Kwa ,uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Shikamoo babu.
 
Mkuu kama ni mlevi angalia namna ya kuacha rasmi. Life begins at 40

Yaani hapo unaachana na games kabisa. Unaanza kuangalia future na legacy kwa familia yako.

Ila nabisha huo umri huna. Wewe ukienda sana 36 hvi
 
Back
Top Bottom