Vijana wa kitambo chetu

Vijana wa kitambo chetu

Bwashee, kwenye miaka ya 20 nilikua na maisha ya ndoani , nilifunga ndoa ni binti mmoja mrembo , niliishi kama vijana wengi wanavyotamani humu , ila mwisho wa siku tulizinguana vibaya mno , na ikawa chachu ya mimi kufikiri tofauti kuhusu maisha na ndoto zangu, kiufupi bado kuna level ya pesa nataka nifike🤔
 
🤣🤣🤣🤣,zikianza kupukutika Sasa🙌
Hapo ntakuwa Nimeshindwa vita japokuwa sio kizembe.
65616.jpg
 
Back
Top Bottom