Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,837
- 183,041
Nakujaš¤£š¤£š¤£Kwendaaaš kidogo niandike njoo nikubembeleze nikagundua ni utapeli mtupu š
Nakujaš¤£š¤£š¤£Kwendaaaš kidogo niandike njoo nikubembeleze nikagundua ni utapeli mtupu š
Mbabu.Hivi miaka 40 ni kijana
Aisee, kumbe umezeeka sana banaMimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 š¤
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto ya kipara na kitambi š¤
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 š¤
Yaani mkuu umenisema mimi kila kitu. Usikute vijana wote wa umri huo maisha yetu yanafanana š¤Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 š¤
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto ya kipara na kitambi š¤
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 š¤
Bado minne š¤Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January kwa sasa tunatimiza miaka 40 na wale wa mwishoni 86 š¤
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo, ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto ya kipara na kitambi š¤
Kwa uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 š¤
Sio kivileee, šššDah kuna nyakati mnatupiga spana baba zenu mjue šškumbe watoto hivyo
Unanisema mkuu, nikoVijana tunahangaishwa na magari na maisha mazuri tusijue watu wameyavumilia, kupambana kukosa na kupata mpka kufikia hapo
Sasa sisi mtu anasema weka laki upate million, hufikirii laki Tisa itatoka wapi ??
Nadhani vijana tuwe na subra na nidhamu ya kazi, pesa na kutengeneza uhalisia kwenye utafutaji nje ya hapo ni vilio
napambania sana na ninaamini nitatoboa. Sema mkubwa mimi sio dogo nina 30+ ni old enoughPole sana dogo shikilia hapohapo usikate tamaa, giza likizidi kunakaribia kupambazuka
Nimeipenda hiišškuna siku niko kwenye folen benki nikasikia dogo aliyekuwa mbele yangu anaambiwa mpishe mzee apate huduma. Kidogo nidondoke kwa mshtuko, tangu siku ile nikawa najitahidi kuwa smart.
Ungeiisoma kiarusha arusha ilikua inakuja tuu šššImenichukua sekunde 120 kuelewa hii title View attachment 3639237