Video: Wana usalama watumia machine guns kumimina risasi kwa raia wanaopinga dhuluma za kidini Iran

Hata bongo mlitaka kuandamana ila mkafyata mikia yenu pale mlipoona wanajeshi wanafanya usafi tu

Yaani katika paka waoga na nyie mmo pia

Mjeda anafagia unajifungia ndani unazungusha mikono na mke wako jikoni

Huko wanaoandamana ni wanawake kibao wasioogopa risasi ila nyie mliogopa vifagio tu
Kua uyaone ya Dunia na maajabu yake
 
Mungu hawezi kujijengea mwenyewe kanisa na kujihubiri mpaka ajengewe na watu na ahubiriwe na watu!?..kwa nini asipige yowe mwenyewe huko mbinguni!?..Hana kinywa,hawezi!?...Vita vya msalaba alikua anapiganiwa mungu gani!?
kanisa anasali mwanadam wala mungu ana shobo na kanisa , ila mtu asimtaka mungu hupasw mlazimisha maana kiama kipo , sasa sijui nan kawapa mamlaka ya kutoa amri
 
kweny kanisa anasali mungu au mwanadam ? tumiagq akili , ukiambiwa ukwel elewa acha lig za kitoto
Kanisa anaabudiwa mungu,nyumba ya mungu...kwa nini asijenge mwenyewe nyumba yake mpaka ajengewe na watu!?...kwa nini huyo mungu asiyepiganiwa asihubiri mwenyewe tukamsikia badala yake mnahubiri nyinyi,hawezi kuongea,au Hana sauti,hajiwezi!?
 
Hao wanawake ukiwaachie watembee uchi kama wanavyotaka itafikia hatua watataka wafanye mapenzi barabarani.
Hata bongo ukitembea uchi serikali inakukamata, hakuna kuleta habari za uhuru binafsi.
 
Msingi wa Vita kwenye uislam ni huuu Quran 2:190 fight in the cause of Allah 'only' against those who wage war on you....hakuna Vita muislam atapigana bila kuchokozwa
alshabab walichokozwa na nan mwaka 2007 ?
 
Kanisa anaabudiwa mungu,nyumba ya mungu...kwa nini asijenge mwenyewe nyumba yake mpaka ajengewe na watu!?...kwa nini huyo mungu asiyepiganiwa asihubiri mwenyewe tukamsikia badala yake mnahubiri nyinyi,hawezi kuongea,au Hana sauti,hajiwezi!?
yaan mteja akujengee duka , si ndio ? waumin wa uislam kichwan huwa ni sifur kbs , kanisa anaingia binadam kusali halaf unataka mungu akujenge ,kwan kati yako na mungu nan anajipendekeza kwa mwenzie ?
 
Bunduki aina ya machine gun iliyosheheniwa kwenye juu ya gari inatumika kufanya mauaji kwa raia, serikali inapambana kumpigania "mungu" wa kiislamu kwa kuua wananchi.
View attachment 2389746
Unashangaa hilo, urusi inatumia drones, missiles, tanks n.k kumpigania mungu wa kikristo, na wale mapdre sijui mnawaitaje wanaiombea dua urusi kutwa
 
Unashangaa hilo, urusi inatumia drones, missiles, tanks n.k kumpigania mungu wa kikristo, na wale mapdre sijui mnawaitaje wanaiombea dua urusi kutwa

Halafu nashangaa wanaomshabikia Urusi wote ni waabudu wa muddy
 
Back
Top Bottom