A
Anonymous
Guest
Baadhi ya Wafanyakazi hao katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), leo Agosti 17, 2023 wameendeleza mgomo wao wakishinikiza malipo yao kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya Yapi Merkezi.
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”
Pia Soma:
Waturuki wanaojenga Reli ya SGR wapo katika mgomo, inadaiwa haijalipwa fedha zao
Mkandarasi Yapı Merkezi anayejenga Reli ya SGR atoa ufafanuzi taarifa za kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake raia wa Uturuki
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”
Pia Soma:
Waturuki wanaojenga Reli ya SGR wapo katika mgomo, inadaiwa haijalipwa fedha zao
Mkandarasi Yapı Merkezi anayejenga Reli ya SGR atoa ufafanuzi taarifa za kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake raia wa Uturuki