Video: Gari lapata ajali likiwa kwenye msafara wa kiongozi

Video: Gari lapata ajali likiwa kwenye msafara wa kiongozi

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,202
Reaction score
25,377
Kuna video moja a Ambulance ikiwa imezuiwa isiingilie msafara imetrend sana mtandaoni.

Ile ambulance đźš‘ kila mtu anasema lake, mwingine ina mgonjwa na mwingine haina mgonjwa.

Ila mwishoni tukaona inaondoka kama imefukuzwa ma king'ora juu.

Ni juzi tu hapo, wkt mgombea urais kwa tiketi ya ccm akiwa na msafara wake, akiwa anaelekea eneo la kunadi sera.


IMG_20250907_140409.jpg
Mbele tu hapo barabarani mdipo uone tofauti ya ambulance ya mgonjwa na raia wa nchi nyingine alikuwemo askari kasimama pembeni ya barabara, angalia picha juu.

IMG_20250907_140446.jpg

Hiyo ni gari ya escort upande wa kushoto ilikuwa iisogeze katikati gari ya muheshimiwa ila kwa kuwa kuna mtunza usalama wa raia na serikali wakaona ana thamani ndipo ndg dereva wa gari ya ulinzi wa msafara akaona alitupe mtaloni hapa chini.

IMG_20250907_141047.jpg
Hii inatufundisha na kutupa picha ya thamani ya maisha kwa askali wetu na walinzi wa raia kuwa na thamani kubwa.



UPDATE:
Screenshot_20250910_100733.jpg
 
Kuna video moja a Ambulance ikiwa imezuiwa isiingilie msafara imetrend sana mtandaoni.

Ile ambulance đźš‘ kila mtu anasema lake, mwingine ina mgonjwa na mwingine haina mgonjwa.

Ila mwishoni tukaona inaondoka kama imefukuzwa ma king'ora juu.

Ni juzi tu hapo, wkt mgombea urais kwa tiketi ya ccm akiwa na msafara wake, akiwa anaelekea eneo la kunadi sera.


View attachment 3467361
Mbele tu hapo barabarani mdipo uone tofauti ya ambulance ya mgonjwa na raia wa nchi nyingine alikuwemo askari kasimama pembeni ya barabara, angalia picha juu.

View attachment 3467362

Hiyo ni gari ya escort upande wa kushoto ilikuwa iisogeze katikati gari ya muheshimiwa ila kwa kuwa kuna mtunza usalama wa raia na serikali wakaona ana thamani ndipo ndg dereva wa gari ya ulinzi wa msafara akaona alitupe mtaloni hapa chini.

View attachment 3467366
Hii inatufundisha na kutupa picha ya thamani ya maisha kwa askali wetu na walinzi wa raia kuwa na thamani kubwa.
View attachment 3467368
Video na hayo maelezo ni mambo mawili tofauti, sijui watu mnatumia nn kufikiria mambo.
 
Nahisi Sijaelewa ila Sina uhakika.
Yawezekana kuna matukio yanawapita ikija story kama hii ndipo huwezi kuelewa kabisa mkuu.

Hapo kuna;
a) ambulance ilisimamishwa ili wenye nchi wapite.
b) ajali ya gari ya ulinzi wa kiongozi wa CCM iliyomkwepa askali na ikapata ajali.

Wapi ubongo wako umeshindwa kuelewa?
 
Na roho ya binadamu kipi chenye thamani io itanunuliwa ingine kwa kodi zteu. Deree aliovertake kucover ila buu mbongo huyu apa
 
Wafe tu mbona kina soka, mdude, chaula mpaka sasa familia zao hazijui wapo wapi tuje tuwaonee huruma watu ambao wanakufa na miiili yao tunaiyona acha wafe na wao familia zao zipate machungu kama familia ambazo hazijui ndugu zao wapo wapi
 
Yawezekana kuna matukio yanawapita ikija story kama hii ndipo huwezi kuelewa kabisa mkuu.

Hapo kuna;
a) ambulance ilisimamishwa ili wenye nchi wapite.
b) ajali ya gari ya ulinzi wa kiongozi wa CCM iliyomkwepa askali na ikapata ajali.

Wapi ubongo wako umeshindwa kuelewa?
Kwahy point ya mada ni ipi kati ya ambulance na gari lililopata ajali?

Mana kwenye video na hizo picha hakuna ambulance.
 
Back
Top Bottom