Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Msafara wa mgombea urais wa Jubilee ambaye pia ni rais wa Kenya Uhuru Kenyatta umepata ajali mbaya ya gari na kupelekea watu 6 kuumia vibaya.Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine walikuwa wanaelekea Eneo la Gusii kwa ajili ya kuhutubia mkutano. Gari la Polisi lililokuwa limetangulia limegongana na daladala. Picha hizi ni kwa mujibu wa gazeti la The Standard