Mhga Kombe
Member
- Mar 14, 2021
- 10
- 4
Habarini Wadau,
Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)
Karibuni kwa maoni
Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)
Karibuni kwa maoni