Vipi mkuu ulifanikiwa? Nami nahitajiNatafuta mashine ya mkono (manual) ya kutengeneza matofari ya kujengea na pia iwe na njia mbadala wa kutengeneza vile vitofari vidogo (pavement)
Unahitaji kununua ama kukodisha?Vipi mkuu ulifanikiwa? Nami nahitaji
Hii hati kama ya Manengero, nje ya maadaMishikaki sina hakika..lakini kwa samaki wa foil!pia samak mzuri bundesliga
Niite mkurugenzi😅..Hii hati kama ya Manengero , nje ya maada
KununuaUnahitaji kununua ama kukodisha?
...na vipi ukilinganisha na bei za mjini Daslama?Kama unataka viatu vya mtumba na jinsi njoo Uganda huku utapata mtumba grade 1
Huku Uganda pesa yetu ni kubwa sana hicho kitu cha kwanza. Huku bei ni nzuri kuliko mjini dar hpo....na vipi ukilinganisha na bei za mjini Daslama?
Shukrani sana kwa taarifa, habari njema hiiHuku Uganda pesa yetu ni kubwa sana hicho kitu cha kwanza. Huku bei ni nzuri kuliko mjini dar hpo.
Na maharage ya aina ipi yanapendwa?Mimi nipo Uganda huku maharage huku bei ni nzuri sana.
Maharage ya njano huko ndo yana mpendwa afu pia yani huku maharage yao yapo kma kama kokoto ukiyapika sio chini ya masaa 4 ndo yana hiva. Kwa hiyo ukileta maharage yetu yale jino moja utafanya biashara sana tuNa maharage ya aina ipi yanapendwa?
Maharage ya njano huko ndo yana mpendwa afu pia yani huku maharage yao yapo kma kama kokoto ukiyapika sio chini ya masaa 4 ndo yana hiva. Kwa hiyo ukileta maharage yetu yale jino moja utafanya biashara sana tu
Kununua
Nahitaji machine ya kufyatulia tofali, wapi naweza kupata na bei gani?
Huko Handeni maziwa mtindi wanauza sh ngap kwa lita?Naitwa shafii hemedi nipo handeni tanga umri miaka 28 elimu yangu n secondary. Natafuta mtu ambaye naweza kufanya nae biashara ya kuku mwenye kujua masoko kazi yangu mimi itakuwa n kukusanya mzigo maporini. Shukrani wakuu.
Ndio wewe nini?Acha blah! blah! Jikite kwenye mada kamanda
Njoo mafia nazi moja 500 hadi 300Stereo, wanauzaje nazi mkuu
Weka nambaKuna tani 40 za korosho Kibiti wakuu,nipeni deal.
Pia natafuta dawa ya Powershot kwa ajili ya mikorosho.
Tatizo wengi mnachakachuaAnayehitaji asali mbichi ,
Tuwasiliane nina lita kama 70 hivi.