laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,818
- 2,275
tanescoMtu anatoka Gimco. Kikampuni cha kijanjakijanja na kuwa Mkurugenzi wa NHC? Maajabu aisee.
tanescoMtu anatoka Gimco. Kikampuni cha kijanjakijanja na kuwa Mkurugenzi wa NHC? Maajabu aisee.
Huna ujualo kaa kimya. Hakuna Mzanzibari hapo wote ni Wa Tanganyika. Tena Wapogoro kabisa wa Morogoro.Wazanzibari wanakula nchi yetu wanavyojisikia wakati nchi yao waneificha nyuma hawataki mtu aiguse
Teuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.
Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
Maisha ni nyumba. Tuache utani huyu mtu amefanya kazi kubwa mno NHCHivi Mchechu ni mzur kwenye nin...
Acha kufuru mkuu hakuna asiewajua hao watu....watu wanatazama tu mchezo...Wamebarikiwa
Mchechu na Mafuru
Mtanganyika gani anaitwa Makame?Huna ujualo kaa kimya. Hakuna Mzanzibari hapo wote ni Wa Tanganyika. Tena Wapogoro kabisa wa Morogoro.
wapi kasema huyo hamad ni mzanzibar?Hamad Abdallah anayechukua nafasi ya Mchechu siyo Mzanzibari. Please do your fact check before you mumble here
wivu juu ya nini yani Rais awaonee wivu hao kwa lipiKabla ya GIMCO alikuwa NHC pamoja na Mchechu kabla Magufuli hajawatimua bila sababu kwa WIVU wake.
Ukute ni ukoo mmoja na waziri wa ujenziMtanganyika gani anaitwa Makame?
Hiyo "mali ya Tanzania ni mali ya Zanzibar ila mali ya Zanzibar siyo mali ya Tanzania"yaani inakera basi tu,sijui kwenye kero za muungano haipo.Ni kweli, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania ila Tanzania sio sehemu ya Zanzibar.
Mzanzibari ni mtanzania ila sio kila mtanzania ni Mzanzibari.
Mali ya Tanzania ni mali ya Zanzibar ila mali ya Zanzibar sio mali ya Tanzania.
Muungano wa hovyo toka Dunia imeumbwa.
Kwake ni demotion tu, anaancha fursa za kutosha NHC
Kwani alipowatoa NHC walikuwa na kosa gani? Au wewe unajifanya umesahau mwendazake alivyokuwa anapuyanga?wivu juu ya nini yani Rais awaonee wivu hao kwa lipi
Maama huwa anatia kichefuchefu kwa kweli .utafikir hii ni nchi ya watu 10 tuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.
2. Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Gimcoafrica Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa Msajili wa Hazina.
3. Amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na pia ni Mshauri Mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari, 2023.
View attachment 2528416
Siyo wivu; zilikuwa ni hujuma.Kabla ya GIMCO alikuwa NHC pamoja na Mchechu kabla Magufuli hajawatimua bila sababu kwa WIVU wake.
Wengine mtapangiwa majukumu mengineWengine endeleeani kusubiri teuzi, zamu yenu itafika tu 🤪
wewe una uhakika gani kama hawakuwa na makosa?point yangu ni kwamba Rais hawezi kumuonea wivu a mere mkurugenzi wa nhc ni uzushi wa kiwango cha lami....kwa lipi narudia tena????????Kwani alipowatoa NHC walikuwa na kosa gani? Au wewe unajifanya umesahau mwendazake alivyokuwa anapuyanga?