Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Wangekuwa mafisadi basi wangekuwa wamehukumiwa na Mahakama. Magufuli alikuwa hapendi watu wenye akili. Yeye alikuwa anapenda kuzungukwa na mazwzwa kama Prof Kabudi, Aggrey Mwanri au Makonda
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Hebu tupeoutputs. Ninyi ndio mnaomaminiwatuwenye maneno mengi ndio wenye akili. Acually ni kinyumechake!
 
We jamaa mtanganyika acha ubaguzi au umesahau tuna Muungano?

Hakuna shida kikatiba raia yoyote kufanya kazi popote Tanzania japo wazenji Huwa wanatubagua machogo tukienda kufanya kazi kwao ATI tutawamalizia "mapembe" (wali usio na ladha wa kitumbo). Mi nilienda nikapiga kazi miezi mitatu tu wakanibagua wakaanza kunipigia cm za vitisho na kuniwinda halafu sijui nani na Wala sijachukua demu wao mara Mwenye Nyumba aniambia kodi ikiisha uhame si hatutaki wabara hapa mwanakwerekwe yaani chumba chenyewe alinichukulia Mzenji mwenzao jamaa hawafai kule kwao hukai labda uwe jeshi!

Mi nimekuelewa mkuu shida yako sio uzanzibari Bali dini za kiislamu za wateule!imekuuma sana ila huna la kufanya Mama ndo kaona wanamfaa!! Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu sana!! Hii nchi ni ya mfumo Kristo Mfalme Sasa akiteuliwa mwislam inakuwa kama ajabu sana kumbe haipaswi kuwa hivyo. Sasa ni zamu yetu hadi Bimkubwa Samia atoke miaka mingi ijayo system itakuwa imebalance.

I pray for you Bimkubwa Samia, May Allay show you the right path and have mercy on you inshallah. Amin
Nyie ndie kuina chanhu chako na changu nchangu, na mnadhihirisha waziwazi. Time will tell!
 
Nashindwa kuelewa hata saa ngapi wanafanya hizo kazi .
Ukikaa kidogo kuweka tako ofisini ushatenguliwa, bado unaaga ushateuliwa, uko safarini kuelekea kituo kipya cha kazi ushapangiwa kazi ingine
Ndo hivyo mama anajua ukihamisha kutoka hapa kwenda pale ndo ufanis unaonfezeka kama alishindwa kazi kituo x kuna ushahidi gani kuwa atapaform kituo y
 
JPM alipomtumbua Mchechu lazima kulikuwa na sababu za kimsingi? Kwanini tusiambiwe ukweli? Kuna anayejua?
 
Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Mwl alitupeleka chaka la ajabu.kambona alikuwa mtu sahihi sana nchi hii.
 
Mbona kamteua huyo jamaa Mkenya kwenye shirika la Nyumba ?
Mchechu marehemu alikuwa ni mtu wa Tanga, mzigua. Alikuwa na eneo pale mikocheni pembeni ya yale maghorofa marefu yanayotazamana na Kida Plaza kiwanja kinachofuata kama unaelekea Mikocheni B upande wa kulia, kiwanja fulani kilikuwa kinajaa maji miaka ya nyuma wakati wa masika.

Ni wale madaktari wa mifugo wa kwanza kwanza nchini, baadae akanunua eneo huko mbele ya uwanja wa ndege.
 
Teuzi zinakwenda kwa Waislamu wa Zanzibar na Wakiristo wa bara.

Waislamu wa bara itafuteni Tanganyika yenu mliyoipigania kwa nguvu sana, haiwezekani Wazanzibari wanakula share yenu kiulaini kwenye mambo ya nchi yenu ya Tanganyika.
Hizi ni akili zilizofilisika za baadhi yetu. Wakati ule wa marehemu JPM hakuna mtu aliyelalamika wasukuma kuwa kila mahali.

Leo mnakuja na gia nyepesi ya chuki za uislam na ukabila. tafuteni hoja yenye mashiko hii ya sasa imechacha.
 
Duh sasa ndio tunaona wazi connection za kupiga hii nchi. Yaani kucha ni mikutano na waarabu. Mtu anatolewa private company anakuja wekwa at a strategic government position.
Samia tuhurumie. Umeridhi urais usifanye ije kua vita kukutoa maana unatuuza.
Chuki zako zinakusumbua bure tu, Mchechu ni mmoja wa vijana wa usalama wa taifa wa miaka mingi.

Ni network kubwa ya vijana waliokuwa wakichukuliwa tangu mashuleni miaka hiyo.
 
Habari wapendwa?

Nimesikia Nehemia Mchechu kateuliwa kuwa Msajili wa Hazina. Nini haswaa majukumu ya MSAJILI WA HAZINA?

Je, majukumu yameongezeka kwa Mchechu au kinyume chake?
 
Usiwe mvivu kusoma mkuu..ingia hapa..www.tro.go.tz utafahamu kila kitu..
 
Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Katiba inaruhusu. Hata angechukukliwa mtu kutoka ulaya siyo dhambi
 
Back
Top Bottom