Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Hebu tupeoutputs. Ninyi ndio mnaomaminiwatuwenye maneno mengi ndio wenye akili. Acually ni kinyumechake!Wangekuwa mafisadi basi wangekuwa wamehukumiwa na Mahakama. Magufuli alikuwa hapendi watu wenye akili. Yeye alikuwa anapenda kuzungukwa na mazwzwa kama Prof Kabudi, Aggrey Mwanri au Makonda