Uteuzi: Rais Samia amteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili Hazina

Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
We jamaa mtanganyika acha ubaguzi au umesahau tuna Muungano?

Hakuna shida kikatiba raia yoyote kufanya kazi popote Tanzania japo wazenji Huwa wanatubagua machogo tukienda kufanya kazi kwao ATI tutawamalizia "mapembe" (wali usio na ladha wa kitumbo). Mi nilienda nikapiga kazi miezi mitatu tu wakanibagua wakaanza kunipigia cm za vitisho na kuniwinda halafu sijui nani na Wala sijachukua demu wao mara Mwenye Nyumba aniambia kodi ikiisha uhame si hatutaki wabara hapa mwanakwerekwe yaani chumba chenyewe alinichukulia Mzenji mwenzao jamaa hawafai kule kwao hukai labda uwe jeshi!

Mi nimekuelewa mkuu shida yako sio uzanzibari Bali dini za kiislamu za wateule!imekuuma sana ila huna la kufanya Mama ndo kaona wanamfaa!! Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu sana!! Hii nchi ni ya mfumo Kristo Mfalme Sasa akiteuliwa mwislam inakuwa kama ajabu sana kumbe haipaswi kuwa hivyo. Sasa ni zamu yetu hadi Bimkubwa Samia atoke miaka mingi ijayo system itakuwa imebalance.

I pray for you Bimkubwa Samia, May Allay show you the right path and have mercy on you inshallah. Amin
 
Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Wacha ubaguzi hakuna utaifa unaitwa uzenji huyo ni mtanzania ana haki zote katika serikali ya muungano ya Tanzania na mafuta na gesi ni mambo yanayosimamiwa na serikali ya muungano.
 
Kumbe una tatizo la akili. Nilikua najua wewe ni mzima
Chukua dole la Kati
Kwa hiyo ulikuwa unamuona Magufuli wa maana? Muone hapa kwenye majabali amejianika kama kenge;
Screenshot_20230201-132543.png
 
Yaan mm unijui na mm sikujui.Halafu unaniandikia utoporo.Hauoni kuwa ,ww hauna kitu kichwani.Ni popoma.Pia lazima ujue Kama hao wanaoteuliwa kwa kuwa wana urafiki na Msoga Gang ndio maana nchi ipo nyuma siku zote.Hizo CV zingekuwa za ukweli ,tusingekuwa na umasikini mkubwa Kama huu.Wanaojua na wenye akili sana ,wengi wapo nje ya system.Beside ,Nehemia alichaguliwa kwa upendeleo pale NHC.Ilihitishwa interview ambayo Ilikuwa chini ya kampuni moja ya kimataifa.Na kampuni hiyo katika kipindi hicho ililipwa pesa nyingi sana kwa ajili ya hiyo kazi.Watu wengi walijitokeza kwenye usaili.Nehemiah alipata point za chini sana.Lakin aliteuliwa kwa hila kuwa mkurugenzi.Pesa nyingi za serikali zilipotea kwa kuwa tu Katibu mkuu wa Ikulu those big days alikuwa wa Njombe pia.Kutolewa kwake pale na JPM Ilikuwa sawa tu.Hana jipya.For reference kindly review the past threads of JF in regard to appointment of Msechu to be a director of NHC in those big days.Definetely most of the threads were so discourage with his appointment.
Jealous will kill you twat. Transformation aliyoifanya Mchechu inafunika hayo majungu yenu yote nyie losers. Nani alikuwa anajuwa house mortgage finance nchi kabla ya Mchechu? Kisomo au CV siyo fungu la makaratasi yenu Bali ni vipi ulichosoma kina translate kwenye reality positively.

Nani alikuwa anajuwa kuwa NHC ni giant corporate kabla ya Mchechu? NHC ilkuwa inafahamika kama mashirika ya Nyerere yaliyotaifisha nyumba za wahindi na kuwapangisha wahindi na waafrika kiasi. Walikuwa wala hawajengi nyumba.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
 
Naamini Mchechu aliulizwa tumuweke ani badala yako,ila kuendelea kuwa na mirija NHC akamkumbuka jamaa yake . Ni mwendo wa si kulamba asali tu bali kufakamia asali,tena asali ile ya nyuki wadogo wasiong'ata.
Ulitaka wakupe wewe mfianchi ? Waliogopa utakufa utaliacha shirika bila CEO
 
MWAKALINGA Vs MCHECHU

Ndugu zangu Tujifunze kitu Maisha ni mapokezano ya mbio za vijiti na Jitihada haizidi Kudra (hata uwe na PhDss 3) una ukomo wa huwezi zidi kudra japo Wanadamu wengi tunatamani kuzidi kudra, turudi kwa watu wawili hapo juu.

2015-2021
Arch Mwakalinga alikua mtoto pendwa wa baba kutoka kuwa CEO wa TBA hadi KM Wizara ya Ujenzi, japo wengi sana walikua wanamuona hana uwezo wa nafasi hizo (Wengine Wivu) lakini hizo ndizo kudra zake, wakati huohuo NEHEMIA MCHECHU yeye (sijui) alikua nyumbani anasoma magazeti.

2021 Onwards
Mchechu yeye gari limewaka na anapepea wakati huohuo Arch Mwakalinga (sijui) anasoma magazeti nyumbani kwake.

Yesu aliwaambia watu. "..Jifanyieni urafiki kwa mali ya udhalimu hata watakapowafukuza wawepo wa kuwakaribisha.."
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-

1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.

2. Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Gimcoafrica Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa Msajili wa Hazina.

3. Amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na pia ni Mshauri Mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari, 2023.

View attachment 2528416

=====

MAJUKUMU YA OFISI YA MSAJILI WA HAZINA
Kwa mujibu wa Kifungu cha 10 cha Sheria ya Msajili wa Hazina Sura 370 kama ilivyorekebishwa, Ofisi imepewa majukumu yafuatayo: –

1. Kufanya mapitio ya kudumu ama kuhakikisha kunafanyika mapitio ya kudumu ya shughuli na mwenendo wa watu ama Taasisi ambazo Msajili wa Hazina anamiliki mali ama ana maslahi kwa mujibu wa Sheria.

2. Bila kuathiri Kifungu kidogo cha (1) kwa ujumla wake, Msajili wa Hazina anatakiwa:
  • Kutoa ushauri kwa Serikali kuhusu uanzishaji wa Mashirika ya Umma na kusimamia biashara au mali zilizowekezwa kwenye Mashirika hayo;
  • Kupitia utendaji wa kifedha wa Mashirika kwa lengo la kushauri hatua za kuchukua katika kuunganisha, kuboresha muundo, kufuta au kuboresha utendaji wa Mashirika na Taasisi za Umma;
  • Kuweka malengo ya kifedha na vigezo vingine vya utendaji vitakavyotumiwa na Mashirika na Taasisi za Umma;
  • Kufanya tathmini mara kwa mara ili kupima utendaji wa Bodi au Menejimenti za Mashirika na kutoa mapendekezo kwa Serikali ya hatua za haraka au zilizopo za kuboresha usimamizi wa rasilimali;
  • Kuidhinisha uwekezaji wa hisa unaofanywa na Mashirika ya Umma kwenye Mashirika au Kampuni nyingine;
  • Kuwekeza au kuuza mali za Mashirika ya Umma;
  • Kuhakikisha kuwa kila Shirika la Umma linaingia Mkataba wa Utendaji na Msajili wa Hazina mara moja baada ya kuteuliwa kwa Bodi ya Wakurugenzi;
  • Kufuatilia na kutathmini programu za mafunzo katika Mashirika na Taasisi za Umma;
  • Kuelekeza au kuidhinisha matumizi au marekebisho ya kanuni za fedha ili kuhakikisha usahihi wa taarifa za mapato na matumizi ya Mashirika ya Umma;
  • Kuchambua na kuidhinisha Miundo na Mifumo ya Mishahara, Kanuni za Utumishi na Mpango wa Motisha kwa Mashirika na Taasisi za Umma;
  • Kufuatilia misaada, ruzuku, fedha za mtaji, akiba au malimbikizo ya faida katika Mashirika ya Umma na kwenye uwekezaji mwingine wa Umma;
  • Kupendekeza au kuidhinisha Mipango ya Mwaka ya Mashirika na Taasisi za Umma;
  • Kufuatilia na kutathmini utendaji wa Mashirika na Taasisi za Umma; na
  • Kufanya ufuatiliaji na kuhakikisha gawio, michango na mikopo kutoka katika Mashirika na Taasisi za Umma inalipwa kwa wakati.
Mojawapo ya mafanikio makubwa ya Msajiri wa Hazina anayeondoka Ndg. Benedicto Mgonya ni jinsi alivyoyapatia ufumbuzi malalamiko na kero za muda mrefu za wastaafu wa mashirika ya umma yaliyobinafsishwa. Ni wakati wa uongozi wa Ndg. Mgonya usiozidi miaka 3 ambapo madai ya mamia ya wastaafu yaliyodumu zaidi ya miaka 10 yalipopatiwa ufumbuzi.
Imekuwa ni kawaida iliyozoeleka kwa madai na maslahi ya wastaafu kupuuzwa na viongozi (ambao wengi wao huwa ni vijana).
Ndg. Mgonya kwa kushirikiana na watendaji ktk ofisi ya Msajiri wa Hazina ameonyesha usikivu, uwajibikaji na busara hadi wakafanikisha utatuzi wa madai sugu na changamoto zilizodumu na kuathiri maisha ya wastaafu kwa miaka mingi.
Kiongozi huyu ni mfano wa kuigwa na wengine. Hakika kwa utendaji kazi wake uliotukuka Ndg. Mgonya anastahili kupandishwa cheo na kupewa madaraka ya juu zaidi. Wastaafu tunamtakia kila la heri kiongozi huyu na tunawashauri wengine kuiga mfano wa Mr. Benedict Mgonya ktk kujali haki na maslahi ya wastaafu baada ya mazoea ya lip service na bureaucracy.
 
Jealous will kill you twat. Transformation aliyoifanya Mchechu inafunika hayo majungu yenu yote nyie losers. Nani alikuwa anajuwa house mortgage finance nchi kabla ya Mchechu? Kisomo au CV siyo fungu la makaratasi yenu Bali ni vipi ulichosoma kina translate kwenye reality positively.

Nani alikuwa anajuwa kuwa NHC ni giant corporate kabla ya Mchechu? NHC ilkuwa inafahamika kama mashirika ya Nyerere yaliyotaifisha nyumba za wahindi na kuwapangisha wahindi na waafrika kiasi. Walikuwa wala hawajengi nyumba.

Mnyonge mnyongeni ila haki y
Jealous will kill you twat. Transformation aliyoifanya Mchechu inafunika hayo majungu yenu yote nyie losers. Nani alikuwa anajuwa house mortgage finance nchi kabla ya Mchechu? Kisomo au CV siyo fungu la makaratasi yenu Bali ni vipi ulichosoma kina translate kwenye reality positively.

Nani alikuwa anajuwa kuwa NHC ni giant corporate kabla ya Mchechu? NHC ilkuwa inafahamika kama mashirika ya Nyerere yaliyotaifisha nyumba za wahindi na kuwapangisha wahindi na waafrika kiasi. Walikuwa wala hawajengi nyumba.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Jaribu kujibu hoja sahihi iliyopo mezani.Hoja sahihi na muhimu iliyojadililiwa ni kwann aliteuliwa kuwa mkurugenz NHC wakati kwenye interview iliyoitishwa na shirika la kimataifa na kuigharimu serikali 80m Mwaka huo,alipata maksi za chini?Ulitakiwa ujibu hoja hii sio utuandikie utoporo usio na maana.Uteuz wake umejengwa kwenye kujuana na sio anajua nn.Yaan who knows you and not what you know.Na nilikwambia yule Katibu kiongoz wa Ikulu ya Kikwete alikuwa mbena na Mchechu ni mbena pia.Pia Mchechu,Mafuru wote ni network ya Msoga gang.Nikijibu hoja yako kuwa ,sisi ni loser sio kweli.Sisi tunataka haki itendeke ili kila mtanzania talented aingie kwenye system sio kuongozwa kwa upendeleo wa watu wachache.Isitoshe wote tulioshindwa interview hizo tuna kaz zetu nzuri tu za maana.Tunakula maisha ni muda mrefu sana.Aidha kudai kuwa Mchechu alikuja na innovation Kama house Mortgage ni uongo mtupu.Hiyo ni old innovation na imeandikwa sana kwenye vitabu vya finance ,labda ww ndio hauijui.Natumain watu sahihi waliopata grade za juu wangepewa nafasi wangekuwa na innovation zisizoandikwa hata kwenye vitabu.Regard.
 
Hivi Mchechu ni mzur kwenye nin...
Jamaa yupo fiti, huoni mijengo ilivyofumuka mjini chini ya uongozi wake, ni mbunifu na sumu kwa viongozi wenye ufisadi wa sirini.
Ndio mana Magufuri alimfulumusha mana alikazania kuimarisha Dar na miji mikuu bila kutilia mkazo chato.
 
Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Huu muunganobwa mchongo siku ukivunjika nitafurahi sana
 
Back
Top Bottom