Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

bila pesa wanawake wazuri wote mjini watakuwa shemeji zako!

Tehe tehe tehee, You real made my day. Nimejikuta nacheka kwani huo ndio ukweli. Unataka uwamwagia mimaji yako wakaioshe na nini?

Halafu ukifika pale Dear perform yako nzuri, unadhani kaitoa wapi kama sio dukani? Je nani kampa hela ya kununua?
 
mwanaume pesa sura tutavumiliana hahaha chezea pesa weee

Aaah sana, pesa ndio kila kitu
chalinze.jpg
 
hayo sometimes mnayatakaga wenyewe, wengi wenu sikuhizi hamjui kutongoza unakuta mkaka anamtaka mdada badala atafute namna ya kujieleza yeye kazi kujisifia, ooh nimesoma sana nina kazi nzuri sijui nina gari, hata hujasema ndio kila baada ya siku 2 unarushiwa vocha za elfu 5, unapelekwa dinner au lunch sehemu za bei mbaya, sasa hapo ntakaposema ndio unategemea hiyo ndio itakuwa ya nini? ya pesa zako ofcoz mana hujanipa rizon nyingine ya kukupenda zaid ya pesa zako, mwingine unakuwa huna hata interest nae lakini anakuganda unaona ngoja nianze kumpiga mizinga ya hela tena ndefu ili apotee lakini wala ndo kwanza kila ukiomba unapewa, unategemea nini hapo? siku ukiniambia sina ndo bye bye. Mjifunze kutongoza
 
Back
Top Bottom