Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

anajua ila alikuwa hajaprove equation xaxa yamemtokea ndio analalama afu wanaume wa kulalamika mim siwapend jaman
ha!ha!haa!kafulia huyo hana mkwanja angekua nao angekua na kibesi.
 
Kwa maisha ya sasa, wachache sana wamebaki na mapenzi ya dhati... so kama umeamua kusubiri mpaka watokee wa ivo...

^^
Ntasubiri mpaka lini? Hata wale wazuri watulivu wameanza kuathiriwa na mitazamo ya pesa kwanza ndio aolewe unategemea nini nameless girl?
Ngoja tutafute pesa kabla LOVE SHOP hazijapata kibali kisheria na bei haijaingiliwa na EFD mashine
^^
 
Ndo maana machangu siku hizi wana wateja wengi; ila mimi huwa siwezi kununua hiyo huduma; sound ikigoma nakuwa mpole. Ila dem akinipa game nikarizika lazima nimpe zawadi ya maana.
 
^^
Ntasubiri mpaka lini? Hata wale wazuri watulivu wameanza kuathiriwa na mitazamo ya pesa kwanza ndio aolewe unategemea nini nameless girl?
Ngoja tutafute pesa kabla LOVE SHOP hazijapata kibali kisheria na bei haijaingiliwa na EFD mashine
^^

l do still believe, kuna wachache wanaoelewa nini maana ya Love na Nini maana ya kuingia kwenye ndoa. Subira yavuta kheri mkuu...
 
Back
Top Bottom