J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
ha!ha!haa woga wako ndo umaskini wako! sema jina to hilo wallah!ningeicmamisha dunia kwa dakika moja ubadili historia from singo to dabo.Mi ndo mana bado nko single mpaka leo.
ha!ha!haa woga wako ndo umaskini wako! sema jina to hilo wallah!ningeicmamisha dunia kwa dakika moja ubadili historia from singo to dabo.Mi ndo mana bado nko single mpaka leo.
Teh mi mwenyewe natafuta wa kumkabidhi penzi la dhati....
ha!ha!haa woga wako ndo umaskini wako! sema jina to hilo wallah!ningeicmamisha dunia kwa dakika moja ubadili historia from singo to dabo.
ha!ha!ha!haaaa!shiii Asprin asisikie "nivute kwako"
you don't mind if i chop your money??Am addicted to you.
you don't mind if i chop your money??
^^
Karibu tukae benchi Mkuu, mi nazisaka nije ninunue penzi la dhati.
^^
Kuna demu nilikuwa na-date nae hapa Dar es Salaam akaamia Mwanza kikazi,akiwa huko akanipiga mzinga nikamwambia sipo vizuri ki-mshiko kipindi hichi anipe muda kidogo,tangu wakati huo amekata mguu hata mawasiliano afanyi na sms hajibu,na wapo wengi tu wa dizaini hiyo,kwahiyo hii inamaanisha na wanaume tuwe maplayer maana mapenzi ni mshiko au,
bila peas mwanaume hupendekk! hate Kama ni makeover watakutqdunia waking an pesa
ha!ha!haaa bring me your ATM,tigopesa n M-Pesa beb evrythng z gonna be arlght.Ur wish is my command babe!
ha!ha!haa umeöna eh!yan errors lukukiHizi screen touch sio nzuri hata kidogo,
owkay wait 4 me there.
owkay wait 4 me there.
ununue penzi la dhati!!!!! Utanunua penzi bado litakuwa penzi la pesa