Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hivi PESA na UCHI bora nini?
Watu wanasema kwamba watu wanatafuta PESA ili wapate UCHI, na wenye UCHI wanauza ili wapate PESA, kwa kweli hili swali nimeshindwa kupata ufumbuzi kwamba ipi inadhaminiwa zaidi.
Tumeshasikia watu wakiuawa kwasababu ya PESA, pia tumeshashuhudia watu wakiuawa kwa sababu ya UCHI
JE NI IPI INA NGUVU KTK MAISHA YA BINADAMU WA SASA WA KIDIGITALI
kuna tofauti Kubwa sana Kati ya uchi na mapenzi
 
Daa! mlivyoongelea uc_chi mme nisismua nyie acheni tu jamai.. uchi huu uchi.
 
Kuna demu nilikuwa na-date nae hapa Dar es Salaam akaamia Mwanza kikazi,akiwa huko akanipiga mzinga nikamwambia sipo vizuri ki-mshiko kipindi hichi anipe muda kidogo,tangu wakati huo amekata mguu hata mawasiliano afanyi na sms hajibu,na wapo wengi tu wa dizaini hiyo,kwahiyo hii inamaanisha na wanaume tuwe maplayer maana mapenzi ni mshiko au,
 
Ulikuwa hujui???
attachment.php
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    21.9 KB · Views: 1,045
Kuna demu nilikuwa na-date nae hapa Dar es Salaam akaamia Mwanza kikazi,,,,,akiwa huko akanipiga mzinga nikamwambia sipo vizuri ki-mshiko kipindi hichi anipe muda kidogo,,,,,tangu wakati huo amekata mguu hata mawasiliano afanyi na sms hajibu,,,,,na wapo wengi tu wa dizaini hiyo,,,,,kwahyo hii inamaanisha na wanaume tuwe maplayer maana mapenzi ni mshiko au,,,,,

bila pesa wanawake wazuri wote mjini watakuwa shemeji zako!
 
Hii itakusaidia
attachment.php
 

Attachments

  • 1392704691893.jpg
    1392704691893.jpg
    28.8 KB · Views: 887
Kwa akili zako unaona yataenda kweli?


Kuna demu nilikuwa na-date nae hapa Dar es Salaam akaamia Mwanza kikazi,,,,,akiwa huko akanipiga mzinga nikamwambia sipo vizuri ki-mshiko kipindi hichi anipe muda kidogo,,,,,tangu wakati huo amekata mguu hata mawasiliano afanyi na sms hajibu,,,,,na wapo wengi tu wa dizaini hiyo,,,,,kwahyo hii inamaanisha na wanaume tuwe maplayer maana mapenzi ni mshiko au,,,,,
 
Back
Top Bottom