Otherwise mnadanganyana, ndio yale ya kua na wapenzi watatu, binti anakua na ampendae then anaemwezesha na msaidizi. hii ni hatari sanaHAIWEZEKANI AISEE... mapenzi na njaa ni mwiko kabisa... raha ya penzi uppate unachokitaka loh!!!!!!!!!!!!!!!!
Otherwise mnadanganyana, ndio yale ya kua na wapenzi watatu, binti anakua na ampendae then anaemwezesha na msaidizi. hii ni hatari sana
HAIWEZEKANI AISEE... mapenzi na njaa ni mwiko kabisa... raha ya penzi uppate unachokitaka loh!!!!!!!!!!!!!!!!
yani atakuwa anagonewa demu wake ... pesa mbele mapenzi badae ..[/QU
Hii yote inasababishwa na uharaka wa sis vijana, tunataka mambo makubwa ambayo sio saiz yetu. Watu watawezesha then watapita wewe utang'ang'ana na uboyfriend na ugirlfriend njaa
Hizo nguvu za kutatua migogoro itakayojitokeza bora uhamishie kwenye ujasiriamali utapata hela then unaweza sasa kutembea kifua mbele kama umepigwa ngumi ya mgongo...unachagua tuuuuuuhaiwezekani kwakweli. tafta pesa kwanza.
Hayo ndio mapenz ya kwenye movie na simulizi za kalesasa msipokuwa na pesa hata mkiugua mtatibiwaje jamani?
let them comeHold on..... wanakuja
sasa msipokuwa na pesa hata mkiugua mtatibiwaje jamani?
yani atakuwa anagonewa demu wake ... pesa mbele mapenzi badae ..