Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Wenzenu tunamaintain six Packs tuendelee kuwa walinzi wa hela zetu....eti hela... Nikupe hela naumwa... Hahahaaaaaa.

Ulikuwa hujui???
attachment.php
 
Hahaha...
Nna mpango wa kufungua kampuni ya waolewaji wanaoweza kuaminika, hope utakua mteja wangu wa kwanza... (kidding)...

^^
Nadhani wanawake pia wasiopenda pesa mnaweza kuungana na mimi49 utakuwa mradi mzuri.
Aisee
^^
 
Last edited by a moderator:
Wenzenu tunamaintain six Packs tuendelee kuwa walinzi wa hela zetu....eti hela... Nikupe hela naumwa... Hahahaaaaaa.
Tized shauri ako, "kama huna pesa mademu wazuri utaishia kuwaita shemeji"
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa. Pesa ninayo ila sitaitoa kununua hio kitu aisee. Dhamiri yangu inagoma kabisa. ''Its a humiliation of mankind''

Kwani shida nini bhana... si ntakula tu kwa macho yakhee... hahahahhaha... Ata hivyo siwahitaji kihivyo...

Nitakuwa msaada kwake kadiri nitavyoweza ila kitendo chochote kitakachoonesha nalipia hio kitu. sitakifanya.. labda nisijue kabla ya kukitenda kuwa kinaashiria ununuzi.
Tized shauri ako, "kama huna pesa mademu wazuri utaishia kuwaita shemeji"
 
Hahaaa. Pesa ninayo ila sitaitoa kununua hio kitu aisee. Dhamiri yangu inagoma kabisa. ''Its a humiliation of mankind''

Kwani shida nini bhana... si ntakula tu kwa macho yakhee... hahahahhaha... Ata hivyo siwahitaji kihivyo...

Nitakuwa msaada kwake kadiri nitavyoweza ila kitendo chochote kitakachoonesha nalipia hio kitu. sitakifanya.. labda nisijue kabla ya kukitenda kuwa kinaashiria ununuzi.

thubutuuuu sizitaki mbichi hizi.....
 
Hahaaaaa... hata mbichi nazila ivo ivo kwani shida iko wapi bhana!!!!... hahahahaaaa... Nimeshakataa siku nyingi kuwa mtumwa wa tamaa zangu... mimi ndio bosi kwa hiyo zinatakiwa kunisikiliza kadiri ntakavyoziruhusu.... ''we are what we have chosen to be''

Naweza kukuhakikishia kwa kiwango kikubwa... mwanaume akishajua uko naye tu kwa ajili ya hela zake... automatically unauvaa uthamani wa bidhaa'' nasikitika kusema hivi ila ndio ukweli wenyewe. Kwa hiyo kama hela ndio imemshikiza mtu mahali (japo haipaswi kuwa) kamwe asimdhihirishie hicho kitu.

Kwani ukishajua paka ukimpa maziwa unamkamata, una haja gani kujihangaisha naye wakati una maziwa full tank na paka mwenyewe anayaona kwenye hilo tank la kiooo'' unafikiri ata umle mateke si atarudi tu karibu na hilo tanki?

thubutuuuu sizitaki mbichi hizi.....
 
mwanaume bila pesa wala hapendezi, kama alikuwa na sura not richabo basi ndo inazidi kuwa mizengo!
 
Wadau najiuliza tu inawezakana watu wakapendana na kupeana mapenzi yote bila uwepo wa pesa kwa zama hizi?

mfano mimi nisiye kuwa na ajira miss Tanzania anaweza kunipenda tu na kukubali kuishi nami nandi ya kachumba kamoja ka kupanga?maana kwenye hadithi nyingi za mapenzi nikisoma husema mapenzi hayachagui na ni upofu.

labda wadau mnipe na uzoefu wenu.
 
Back
Top Bottom