Utani wa Rais Samia na Ruto kuhusu lugha ya Kiswahili na Kingereza

..Rais Ssh hajui namna ya kufanya utani anapokuwa jukwaani.

..alichofanya Ssh ni kuleta mipasho na matokeo yake akaanza kujibiwa na ofisa mdogo toka Kenya.
kwako Rais Samia hajawahi na hatopatia kwa jambo lolote analofanya. vuta subira ikifika 2025 kafanye maamuzi yako
 
Swali la Utani: Kati ya Kenya na Tanzania, wapi Kingereza kinazungumzwa kwa ufasaha?
Bila kuzungumza (practice) ni vigumu kujua kwani watanzania hawatumii sana kiingereza kuwasiliana!
Japo uhalisia ni kwamba watanzania wana lafudhi nzuri wanapozungumza kiingereza japo si kwa ufasaha kulinganisha na Kenya. Lugha yoyote usipoizungumza huwezi kuwa mahiri!

In order to make it perfect, we need to practice!
 
Wakiwa kwenye Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), Rais Samia wa Tanzania na Rais William Ruto wa Kenya walitaniana kuhusu Matumizi Sahihi ya Lugha za Kiswahili na Kingereza

Swali la Utani: Kati ya Kenya na Tanzania, wapi Kingereza kinazungumzwa kwa ufasaha?

View attachment 2743772
Sasa na hii ni habari, ya kuleta jf
 
Kenya na TZ ni watoto wa baba mmoja, asili ya makabila mengi ya Kenya yapo pia Tanzania sema kwa majina tofauti ukiacha Wajaluo na Wamaasai...
 
Kwani lini Kingereza kilifutwa kutumika Tanzania?
hakikufutwa, ila wananchi hawakuzoeshwa kuongea. Shuleni kwenyewe kipo kama hakipo ndio maana watanzania wengi hawajui kuongea lugha hii. Wanaoongea ni hao walioko maofisini, tena wanaongea cha kubabaisha. Kwa ujumla watanzania hawaongei kiingereza na hawakijui
 
hakikufutwa, ila wananchi hawakuzoeshwa kuongea. Shuleni kwenyewe kipo kama hakipo ndio maana watanzania wengi hawajui kuongea lugha hii. Wanaoongea ni hao walioko maofisini, tena wanaongea cha kubabaisha. Kwa ujumla watanzania hawaongei kiingereza na hawakijui
Lugha ni jitihada ya mtu.

Binafsi pia naongea lugha ambazo sikufundishwa shuleni. Mfano Kireno na Kifaransa.

Tena siku hizi miaka ya AI ni wepesi sana kujifundisha lugha yoyote ile ya Kimataifa.

Ungependa kujuwa lugha ipi zaidi? Nikupe links ujifundishe.
.Anza na Kiarabu, kinakaribiana sana na Kiswahili: https://www.udemy.com/course/arabic...._pl__._ti_kwd-10572020_._li_9069895_._pd__._
 
Kenya hakuna uongo na Uzombie kwa kuwa wanajua Kiingereza? katika kosa ambalo naweza kumlaumu Nyerere ni kuwanyima exposure wa Tanzania kama Wewe maana unaona kila kitu cha nje ya Nchi yako ni kizuri na kila kilichofanywa Nchini ni kibaya
Kwa taarifa yako exposure niliyonayo ndio inanifanya nione mapungufu tena ya kizembe yaliyoko hapa nchini.
 
Kwa taarifa yako exposure niliyonayo ndio inanifanya nione mapungufu tena ya kizembe yaliyoko hapa nchini.
ungekuwa na exposure usingehusisha maendeleo ya Nchi na watu na Kiingereza.

kuna Nchi nyingi tu na zingine zinapakana na Uingereza na watu wake hawajui Kiingereza na wako fresh tu na kuna Nchi nyingi tu zinaongea Kiingereza na watu wake ni pangu pakavu! exposure gani iliyokufanya uamini Kiingereza ndio ufunguo wa maendeleo?
 
ungekuwa na exposure usingehusisha maendeleo ya Nchi na watu na Kiingereza.

kuna Nchi nyingi tu na zingine zinapakana na Uingereza na watu wake hawajui Kiingereza na wako fresh tu na kuna Nchi nyingi tu zinaongea Kiingereza na watu wake ni pangu pakavu! exposure gani iliyokufanya uamini Kiingereza ndio ufunguo wa maendeleo?
Maendeleo hayana uhusiano na Lugha, kung'ang'ania Kiingereza wakati mna Lugha yenu ni utumwa na Ujinga pia, kwani Germany, Ufaransa, Japan, China wana ongea Lugha gani? Mbona wana maendeleo kutushinda sisi tunao hangaika na Yes yes zisizo na misingi?

English hii tulionayo inatosha kutuma email, kupiga simu na kuuza bidhaa nje, cha msingi kuliko yote ni maendeleo.
 
ungekuwa na exposure usingehusisha maendeleo ya Nchi na watu na Kiingereza.

kuna Nchi nyingi tu na zingine zinapakana na Uingereza na watu wake hawajui Kiingereza na wako fresh tu na kuna Nchi nyingi tu zinaongea Kiingereza na watu wake ni pangu pakavu! exposure gani iliyokufanya uamini Kiingereza ndio ufunguo wa maendeleo?
Huenda unajibu post ya mtu mwingine kwenye post yangu, hakuna popote nilipoongelea kiingereza, sana sana nilikuambia Kenya hakuna uoga na uzombie kama hapa. Hayo ya kiingereza umeyataja ww kwani unabeba post za Wingine na kujibia hapa kwangu. Pitia kote kwenye post zangu nilipokuquote kama nimeeandika neno kiingereza popote.
 
Maendeleo hayana uhusiano na Lugha, kung'ang'ania Kiingereza wakati mna Lugha yenu ni utumwa na Ujinga pia, kwani Germany, Ufaransa, Japan, China wana ongea Lugha gani? Mbona wana maendeleo kutushinda sisi tunao hangaika na Yes yes zisizo na misingi?

English hii tulionayo inatosha kutuma email, kupiga simu na kuuza bidhaa nje, cha msingi kuliko yote ni maendeleo.
Kwahiyo kuswali kwa Kiarabu siyo sahihi?
 
Nilikaa Kenya miezi 3 Nairobi Cty maenei ya Gymkhana sikuwahi kuona watu wakizungumza kiingereza mtaani.kinachowasaidia Kenya tokea chekecheka watoto wanasoma kwa English
Wanajionaga wazungu hivi wakenya wangekuwa na light skin kama Ethiopian tungekoma
 
Lugha ni jitihada ya mtu.

Binafsi pia naongea lugha ambazo sikufundishwa shuleni. Mfano Kireno na Kifaransa.

Tena siku hizi miaka ya AI ni wepesi sana kujifundisha lugha yoyote ile ya Kimataifa.

Ungependa kujuwa lugha ipi zaidi? Nikupe links ujifundishe.
.Anza na Kiarabu, kinakaribiana sana na Kiswahili: https://www.udemy.com/course/arabic...._pl__._ti_kwd-10572020_._li_9069895_._pd__._
huwa napata kazi ya kuandika qur an misikitini, baadhi ya walimu wa madrasa hukosea sana maandishi wanayonipa. Ni bora mimi mwenyewe nijifunze na kujua kuandika kiarabu kwa ufasaha kuliko kutegemea kupewa maneno na hao walimu wanakosea sana halafu inaonekana ni mimi
 
Kwahiyo kuswali kwa Kiarabu siyo sahihi?
Sio sahihi, hata tunao tumia kiarabu tuna soma vitabu kwa kiarabu lakini tuna toa mawaidha kwa kiswahili, maana kuna upungufu wa watalaam wa kutafsiri kiarabu kwenda kiswahili kwa dini husika, mungu haangalii lugha , anaangalia matendo ya mtu .

Wachina wane tafsiri vitabu vyote vitakatifu yaani Bible /Quran kwenda kwa lugha yao ya kichina ili wananchi wao wasome na kuelewa, sio kukariri.
 
Back
Top Bottom