johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Msajili wa Vyama Vya Siasa Jaji Mutungi anesema mchakato wa Katiba mpya hautatekwa na Wanasiasa
Mutungi amesema Vyama Vya Siasa ni Sehemu tu ya Jami ya Watanzania hivyo mchakato utabalansisha makundi Yote yanayounda Jamii au Taifa la Tanzania
Source: Mwananchi
Mutungi amesema Vyama Vya Siasa ni Sehemu tu ya Jami ya Watanzania hivyo mchakato utabalansisha makundi Yote yanayounda Jamii au Taifa la Tanzania
Source: Mwananchi