Ushauri: Mbowe, Jumapili ya kwanza baada ya kutoka Mahabusu/Jela, itumie kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,035
144,387
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya njema.

Mbowe sio gaidi.
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya bora.

Mbowe sio gaidi.
Catholic wako kimya sijui kwanini au wao walikuwa wanashindana na mwendazake.
Hata Shoo hatoi uzito unao stahili kama kwa mwendazake.
 
Yaani Tz hata viongozi wa dini nikama wanasiasa tu, wanachungulia kuona nn kitawafanya wajadiliwe sana, sioni tofauti Mzee wa upako na Mbatia ktk suala hili
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya bora.

Mbowe sio gaidi.
Mpaka kesi iishe na mapingamizi ni miaka 2. Hukumu ikitoka rufaa (upande wowote utakaoshindwa) mwaka mwingine mmoja. Uchaguzi 2025 huooo!
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya bora.

Mbowe sio gaidi.
MBOWE sio GAIDI
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya bora.

Mbowe sio gaidi.
Ni kumbukumbu fupi ama? Hebu Google "Mzee wa Upako Chadema/Mbowe" ushuhudie huyo "mchungaji kinyonga" alivyoshirikiana kikamilifu kuwakandamiza enzi za Mwendazake.

Tatizo lenu ni kwamba hata Bashite akiamua kuzuga kesho na kuongea mnachopenda kusikia, mtamuita mkombozi. Lakini unfortunately, akitokea mtu kama yule mwandishi Khalifa Said kupishana japo kidogo na mtazamo wenu (licha ya yeye kufanya kazi kubwa ya kuitangazia dunia kuhusu ukandamizwaji waliofanyiwa Chadema) anamwagiwa matusi.

Demokrasia ya matusi?
 
Ni kumbukumbu fupi ama? Hebu Google "Mzee wa Upako Chadema/Mbowe" ushuhudie huyo "mchungaji kinyonga" alivyoshirikiana kikamilifu kuwakandamiza enzi za Mwendazake.

Tatizo lenu ni kwamba hata Bashite akiamua kuzuga kesho na kuongea mnachopenda kusikia, mtamuita mkombozi. Lakini unfortunately, akitokea mtu kama yule mwandishi Khalifa Said kupishana japo kidogo na mtazamo wenu (licha ya yeye kufanya kazi kubwa ya kuitangazia dunia kuhusu ukandamizwaji waliofanyiwa Chadema) anamwagiwa matusi.

Demokrasia ya matusi?
Rudi nyumbani ushasamehewa!
Wewe mbona umepiga u-turn kutoka kuwa mkosoaji mkuu wa mwendazake
hadi chawa pro max wa awamu hii?
 
Ni kumbukumbu fupi ama? Hebu Google "Mzee wa Upako Chadema/Mbowe" ushuhudie huyo "mchungaji kinyonga" alivyoshirikiana kikamilifu kuwakandamiza enzi za Mwendazake.

Tatizo lenu ni kwamba hata Bashite akiamua kuzuga kesho na kuongea mnachopenda kusikia, mtamuita mkombozi. Lakini unfortunately, akitokea mtu kama yule mwandishi Khalifa Said kupishana japo kidogo na mtazamo wenu (licha ya yeye kufanya kazi kubwa ya kuitangazia dunia kuhusu ukandamizwaji waliofanyiwa Chadema) anamwagiwa matusi.

Demokrasia ya matusi?
Tunajua wewe uko katika kundi la Mama hivyo ni lazima upinge.

Sisi wengine tunaunga mkono msimamo na vitendo/matendo ya mtu na si mtu kama mtu. Ukibadilaka, tunakupotezea.
 
Pamoja na mapungufu yake yote, Mzee wa Upako ni mmoja wa viongozi wachache wa dini waliojitokeza hadharani kukemea kitendo cha wewe kuwekwa ndani bila kujali gharama anayoweza kulipa kwa uamuzi wake huo.

Hivyo, Mheshimiwa Mbowe, katika kuonyesha shukrani zako kwa vitendo, nakushauri Jumapili ya kwanza baada tu ya wewe kutoka jela(kama watakufunga na kukupa msamaha wa Raisi) au kama watakufutia kesi, uitumie siku hiyo kushiriki Ibada katika kanisa la Mzee wa Upako.

Mbali na kushiriki Ibada, ikiwezekana wakupe nafasi siku hiyo usimame madhabahuni na utoe neno kwa waumini na kwa watanzania wote kwa ujumla.

Wewe kama seasoned politician, sihitaji kukushauri nini cha kusema siku hiyo, bali nakuachia mwenyewe na zaidi nakuombea uzima na afya njema.

Mbowe sio gaidi.
Mwamba amesanda mpaka Zitto kamuombea msamaha kwa Mama
 
Ni kumbukumbu fupi ama? Hebu Google "Mzee wa Upako Chadema/Mbowe" ushuhudie huyo "mchungaji kinyonga" alivyoshirikiana kikamilifu kuwakandamiza enzi za Mwendazake.

Tatizo lenu ni kwamba hata Bashite akiamua kuzuga kesho na kuongea mnachopenda kusikia, mtamuita mkombozi. Lakini unfortunately, akitokea mtu kama yule mwandishi Khalifa Said kupishana japo kidogo na mtazamo wenu (licha ya yeye kufanya kazi kubwa ya kuitangazia dunia kuhusu ukandamizwaji waliofanyiwa Chadema) anamwagiwa matusi.

Demokrasia ya matusi?
We ni kama malaya wengine tu wa kisiasa.
Unataka mtu akitutetea tumtukane au tumpinge, leo hata Polepole na Samia wakituunga mkono tutashukuru na kuwaunga mkono.
Wewe ni CCM mjinga mjinga usijifanye kutufundisha sisi wa kumsifia au kumponda.
 
ila asee tuseme tu ukweli mbowe sio gaidi na hana kiashiria chochote cha ugaidi zaidi ya mambo tu ya kisiasa baina ya ccm na mbowe,,
#ushauri ccm wamwachie huru huyu jamaa,,, kwa sera nzuri mbona 2025 wanaweza chukua nchi simple pia siasa chafu zinachafua chama Samia lione hilo jambo kimataifa zaidi sio locally kihivyo...
 
Tanzanua ina bahati sana kuwa na Magaidi nchili lakini waliodhibitiwa jela.
la kushangaza ni kwamba Mama Juzi katika hutuba yake ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika anasema nchi iko swari na hakuna ugaidi wala Magaidi.
Ivi ni kwa vile Gaidi kadhibitiwa ndo maana kasema hali ni shwari?

Au Mbowe kasingiziwa tuu?
 
Tanzanua ina bahati sana kuwa na Magaidi nchili lakini waliodhibitiwa jela.
la kushangaza ni kwamba Mama Juzi katika hutuba yake ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika anasema nchi iko swari na hakuna ugaidi wala Magaidi.
Ivi ni kwa vile Gaidi kadhibitiwa ndo maana kasema hali ni shwari?

Au Mbowe kasingiziwa tuu?
Hilo si swali, bali ni jibu.
 
Back
Top Bottom